new level
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 269
- 569
Habari Wana JF niende kwenye mada
VITU VYAKUZINGATIA ILI USI ZEEKE HARAKA.
Punguza kula nyama kwa wingi. Punguza kunywa pombe Kali au acha kabisa hasa hunywaji wa pombe za kienyeji matumizi ya madawa yakulevya. Uvutaji sigara Aina zote ..punguza au acha kabisa. Nyeto pia punguza au acha kabisa boys my bad
Zingatia vyakula natural Sina haja yakuvielezea vyote I mean punguza kula vyakula vya artificial Yani vile vya viwandani au kwa lugha nyepesi vya super market soda soda chocolate , biscuits ,nk sio kwamba uache kabisa ila unaweza ukapunguza.
Kunywa maji yakutosha fanya mazoezi hoga vizuri.. usipake mafuta wakati wakulala hii nimeiyona kwa watu wengi unakuta mtu ngozi yake Niya mafuta mafuta then usiku akimalia kuoga et anapaka mafuta uoni utaongeza acid kwenye ngozi ? Au huoni utachafua mashuka?
Tafuna punjee kadhaa za vitunguu swaum walau mara 3 kwa week hususa mida ya usiku pia kua na tabia yakupaka asali usoni walau Mara 2 kwa week kula matunda yakutosha Kuna nchi zingine familia inaweza ikalalia tikiti , papai na ndizi mbivu na ikalala fresh tu ila huku kwetu bila ugali dagaa au nyama au wali maharage apo bado hujalaza watu.
Watanzania wengi menu yetu ya kila siku imesha kalilika.
Yan asubui chai chapati mbili.
Mchana ugali dagaa
Usiku wali maharage
Sio wote ila mostly ndio menu kuu ya familia zetu zakiswahili ..do u wanna look good right? Sio lazima ule icho chakula January to December .. na issue sio pesa ila Ni mazoea tu. Ma getto boys Kuna maeneo wote hua tunayafaamu usiku wanauzag maziwa na viazi vitam vyakuchemsha ila tunapuuzia eti sio chakula rasmi Cha usiku!
Mtu Yuko radhi ale wali maharage Monday to Sunday kisa anaofia watu wakimuona anakula viazi na maziwa mtindi itatafsirika kua amefulia ..wakati Ni perfect meal sio tu kwa afya ya akili pia hunawirisha ngozi nakua strong na nyororo Kama ya mtoto.
YOU ARE WHAT YOU EAT just eat healthy and your body will be shining like diamond.
Mengine ongezeeni kwa yeyote anaye fahamu.
VITU VYAKUZINGATIA ILI USI ZEEKE HARAKA.
Punguza kula nyama kwa wingi. Punguza kunywa pombe Kali au acha kabisa hasa hunywaji wa pombe za kienyeji matumizi ya madawa yakulevya. Uvutaji sigara Aina zote ..punguza au acha kabisa. Nyeto pia punguza au acha kabisa boys my bad
Zingatia vyakula natural Sina haja yakuvielezea vyote I mean punguza kula vyakula vya artificial Yani vile vya viwandani au kwa lugha nyepesi vya super market soda soda chocolate , biscuits ,nk sio kwamba uache kabisa ila unaweza ukapunguza.
Kunywa maji yakutosha fanya mazoezi hoga vizuri.. usipake mafuta wakati wakulala hii nimeiyona kwa watu wengi unakuta mtu ngozi yake Niya mafuta mafuta then usiku akimalia kuoga et anapaka mafuta uoni utaongeza acid kwenye ngozi ? Au huoni utachafua mashuka?
Tafuna punjee kadhaa za vitunguu swaum walau mara 3 kwa week hususa mida ya usiku pia kua na tabia yakupaka asali usoni walau Mara 2 kwa week kula matunda yakutosha Kuna nchi zingine familia inaweza ikalalia tikiti , papai na ndizi mbivu na ikalala fresh tu ila huku kwetu bila ugali dagaa au nyama au wali maharage apo bado hujalaza watu.
Watanzania wengi menu yetu ya kila siku imesha kalilika.
Yan asubui chai chapati mbili.
Mchana ugali dagaa
Usiku wali maharage
Sio wote ila mostly ndio menu kuu ya familia zetu zakiswahili ..do u wanna look good right? Sio lazima ule icho chakula January to December .. na issue sio pesa ila Ni mazoea tu. Ma getto boys Kuna maeneo wote hua tunayafaamu usiku wanauzag maziwa na viazi vitam vyakuchemsha ila tunapuuzia eti sio chakula rasmi Cha usiku!
Mtu Yuko radhi ale wali maharage Monday to Sunday kisa anaofia watu wakimuona anakula viazi na maziwa mtindi itatafsirika kua amefulia ..wakati Ni perfect meal sio tu kwa afya ya akili pia hunawirisha ngozi nakua strong na nyororo Kama ya mtoto.
YOU ARE WHAT YOU EAT just eat healthy and your body will be shining like diamond.
Mengine ongezeeni kwa yeyote anaye fahamu.