Emergency fund: Unatumia njia ipi kujiwekea aina hii ya akiba?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,719
15,697
Nimesoma vitabu na kusikiliza hotumbq mbalimbali youtube na machapisho kadhaa ya uchumi binafsi ( personal economy) nimeona wote wanasisitiza mtu kuwa na EMMERGENCY Fund.

Hiki ni kiasi ambacho umekitunza kiko standby kwa lolote litakalokupata ghafla. Kama ni mfanyabiashara au muajiriwa ni kiasi ambacho kinaweza kukufichia aibu au kukutunza na familia yako angalau miezi sita ukiwa unasoma ramani.

Hiki kiasi kisichanganywe na kile ambacho unasave au unakitunza ili kijae kwa ajili ya kufanya uwekejazi au kukuza mtaji.

Ni tofauti na kile unachokitunza ili baada ya mida flani ufanye jambo kubwa kwa hatua kubwa.

Hii kitu ni muhimu, sana. Kuna jamaa aliwahi kuwa kiongozi mkubwa baada ya kutumbuliwa, ndanj ya muda mfupi akawa hana kitu kaisi kwamba anapiga hadi mzinga wa 50K. Hakuna haja ya mifano mingi maana hii huwa inatukuta wengi.

Wewe unatumia mbinu gani au ulitumiq mbinu gani katika kukabiri hati ya kushtukiza ya anguko la kifedha?


Ni hilo tu...
 
Hongera sana Mkuu!

Binafsi huwa natumia njia hii:

Naandika mahitaji yangu yote katika maisha, kisha ninatenganisha mahitaji ya msingi sana na muhimu huku upande wa pili nikiweka yale yasio na ulazima.

Chakula huwa nanunua kingi cha kutosha tu. Kilo 50 za Unga naweka ndani, Kilo 25 za Mchele naweka ndani pia na Kilo zisizopungua 20 za maharage. Kisha nanunua Viungo muhimu kama nyanya, vitunguu, na kadhalika kisha naweka ndani.

Pesa inayobakia inatumia kwenye dharura na nauli ya kwenda na kurudi kutoka harakati. Vitu visivyo na ulazima naviacha kabsa kushughulika navyo. Pesa ya umeme na maji naitenga pembeni kabsa na mara kadhaa ninalipia maji na umeme kisha ninahifadhi token zangu ndani.​
FULL STOP!
 
Hongera sana Mkuu!
Binafsi huwa natumia njia hii:
Naandika mahitaji yangu yote katika maisha, kisha ninatenganisha mahitaji ya msingi sana na muhimu huku upande wa pili nikiweka yale yasio na ulazima. Chakula huwa nanunua kingi cha kutosha tu. Kilo 50 za Unga naweka ndani, Kilo 25 za Mchele naweka ndani pia na Kilo zisizopungua 20 za maharage. Kisha nanunua Viungo muhimu kama nyanya, vitunguu, na kadhalika kisha naweka ndani. Pesa inayobakia inatumia kwenye dharura na nauli ya kwenda na kurudi kutoka harakati. Vitu visivyo na ulazima naviacha kabsa kushughulika navyo. Pesa ya umeme na maji naitenga pembeni kabsa na mara kadhaa ninalipia maji na umeme kisha ninahifadhi token zangu ndani.​
FULL STOP!
Nimekusoma mkuu, ila hapa sijaona kama kuna emergency fund au makusanyo ambayo baadae yatakuwa backup likizuka lolote.
 
Kuweka Akiba ya dharura huwa nafanya hivi

Bank ua naweka Mil 1 hii huwa haitoki hata iweje inakaa kwa ajili Kama itatokea dharura isaidie kununua Chakula , cha miezi 6.

Na katika account ya kawaida huwa najitahidi isikose hela ya kutumia miaka 3

Katika simu huwa inakaa hela ya kununua chakula kila mwezi unga, mchele mafuta ,gas n.k

Ndani kwangu huwa inakaa hela ya mboga , kununua dawa za maumivu,vocha, sabuni na mambo madogo madogo.

Mfukoni huwa natembea na hela ndogo Sana haizidi buku tano.
 
Kuweka Akiba ya dharura huwa nafanya hivi

Bank ua naweka Mil 1 hii huwa haitoki hata iweje inakaa kwa ajili Kama itatokea dharura isaidie kununua Chakula , cha miezi 6.

Na katika account ya kawaida huwa najitahidi isikose hela ya kutumia miaka 3

Katika simu huwa inakaa hela ya kununua chakula kila mwezi unga, mchele mafuta ,gas n.k

Ndani kwangu huwa inakaa hela ya mboga , kununua dawa za maumivu,vocha, sabuni na mambo madogo madogo.

Mfukoni huwa natembea na hela ndogo Sana haizidi buku tano.
Narudi kupitia tena mkuu. Asante.
 
Kuweka Akiba ya dharura huwa nafanya hivi

Bank ua naweka Mil 1 hii huwa haitoki hata iweje inakaa kwa ajili Kama itatokea dharura isaidie kununua Chakula , cha miezi 6.

Na katika account ya kawaida huwa najitahidi isikose hela ya kutumia miaka 3

Katika simu huwa inakaa hela ya kununua chakula kila mwezi unga, mchele mafuta ,gas n.k

Ndani kwangu huwa inakaa hela ya mboga , kununua dawa za maumivu,vocha, sabuni na mambo madogo madogo.

Mfukoni huwa natembea na hela ndogo Sana haizidi buku tano.
Nimekupata mkuu
 
Kuweka Akiba ya dharura huwa nafanya hivi

Bank ua naweka Mil 1 hii huwa haitoki hata iweje inakaa kwa ajili Kama itatokea dharura isaidie kununua Chakula , cha miezi 6.

Na katika account ya kawaida huwa najitahidi isikose hela ya kutumia miaka 3

Katika simu huwa inakaa hela ya kununua chakula kila mwezi unga, mchele mafuta ,gas n.k

Ndani kwangu huwa inakaa hela ya mboga , kununua dawa za maumivu,vocha, sabuni na mambo madogo madogo.

Mfukoni huwa natembea na hela ndogo Sana haizidi buku tano.
Hela ya miaka mitatu mkuu si pesa ya mtaji, mana si chini ya 20M kwa mtu mwenye familia,
 
Hongera sana Mkuu!

Binafsi huwa natumia njia hii:

Naandika mahitaji yangu yote katika maisha, kisha ninatenganisha mahitaji ya msingi sana na muhimu huku upande wa pili nikiweka yale yasio na ulazima.

Chakula huwa nanunua kingi cha kutosha tu. Kilo 50 za Unga naweka ndani, Kilo 25 za Mchele naweka ndani pia na Kilo zisizopungua 20 za maharage. Kisha nanunua Viungo muhimu kama nyanya, vitunguu, na kadhalika kisha naweka ndani.

Pesa inayobakia inatumia kwenye dharura na nauli ya kwenda na kurudi kutoka harakati. Vitu visivyo na ulazima naviacha kabsa kushughulika navyo. Pesa ya umeme na maji naitenga pembeni kabsa na mara kadhaa ninalipia maji na umeme kisha ninahifadhi token zangu ndani.​
FULL STOP!
Good one
 
Nimesoma vitabu na kusikiliza hotumbq mbalimbali youtube na machapisho kadhaa ya uchumi binafsi ( personal economy) nimeona wote wanasisitiza mtu kuwa na EMMERGENCY Fund.

Hiki ni kiasi ambacho umekitunza kiko standby kwa lolote litakalokupata ghafla. Kama ni mfanyabiashara au muajiriwa ni kiasi ambacho kinaweza kukufichia aibu au kukutunza na familia yako angalau miezi sita ukiwa unasoma ramani.

Hiki kiasi kisichanganywe na kile ambacho unasave au unakitunza ili kijae kwa ajili ya kufanya uwekejazi au kukuza mtaji.

Ni tofauti na kile unachokitunza ili baada ya mida flani ufanye jambo kubwa kwa hatua kubwa.

Hii kitu ni muhimu, sana. Kuna jamaa aliwahi kuwa kiongozi mkubwa baada ya kutumbuliwa, ndanj ya muda mfupi akawa hana kitu kaisi kwamba anapiga hadi mzinga wa 50K. Hakuna haja ya mifano mingi maana hii huwa inatukuta wengi.

Wewe unatumia mbinu gani au ulitumiq mbinu gani katika kukabiri hati ya kushtukiza ya anguko la kifedha?


Ni hilo tu...
Mkuu, Emergency Fund ni muhimu kuwekwa kwende acc ambayo itakua easily accessed lakini sio ya matumizi yako ya kawaida.
Unaweza ijaza mara moja au ukawa unaijaza kila baada ya mda (maybe monthly) kutokana na ukubwa wa majukumu yako, mazingira au maana ya emergency kwako. Mfano emergency fund ya mtu ukiwa na familia (lets say mke na watoto) inatofautiana na akiwa mwenyewe.

N.B. Emergency Fund inahitaji discipline sana kuitunza ila ni muhimu sana kuwa nayo. Wengi hua wanajikopesha emergency fund na hawarudishi 😅
 
Mkuu, Emergency Fund ni muhimu kuwekwa kwende acc ambayo itakua easily accessed lakini sio ya matumizi yako ya kawaida.
Unaweza ijaza mara moja au ukawa unaijaza kila baada ya mda (maybe monthly) kutokana na ukubwa wa majukumu yako, mazingira au maana ya emergency kwako. Mfano emergency fund ya mtu ukiwa na familia (lets say mke na watoto) inatofautiana na akiwa mwenyewe.

N.B. Emergency Fund inahitaji discipline sana kuitunza ila ni muhimu sana kuwa nayo. Wengi hua wanajikopesha emergency fund na hawarudishi 😅
Maelezo mazuri sana.
 
Back
Top Bottom