Elimu ya bure kwa mnaojiuliza Bendi za Congo DR zinapata wapi pesa za kujiendesha pamoja na wamiliki wake kuwa matajiri

Achilia mbali tu Album ile Wenge Musica BCBG 4 X 4 Kupiga sana Hela ila pia Bendi nzima ilikuwa chini ya Udhamini wa Mafia wa wakati huo ambaye pia ni Mtoto wa Hayati Rais wa Zaire ( sasa Congo DR ) Mobutu Seseseko aitwae Jose Kongolo Mibeko la Lalwaa jina la Utani alikuwa akiitwa Saadam Hussein. Kipindi hiko Bendi ya Wenge BCBG na ya Quarter Latin yake Koffi Olomide zilikuwa chini ya Udhamini mkubwa wa Serikali kwakuwa huyu Mtoto wa Mobutu Jose Kongolo alikuwa ni Mtu wa Kujichanganya nao na aliwabeba sana kwa Fedha alizokuwa Akiiba kwa Mgongo wa Hayati Baba yake na pia kwa Dhahabu na Almasi alizokuwa Akiiba huko.

Ukisikiliza Albums zote za Wenge Musica BCBG na za Quarter Latin lazima tu utasikia akina JB Mpiana na Koffi Olomide wakimpaisha kwa kusema Jose Kongolo Sadame Missele wakimaanisha Jose Kongolo Sadam wa Makombora. Ikumbukwe pia kuwa Jose Kongolo alikuwa ni Mwanajeshi mkubwa tu na Mpenda Vita ambaye alishiriki sana Kuua Mwenyewe ( Yeye kama Yeye ) wale Wapinzani wa Hayati Baba yake japo hata Yeye pia alifariki kwa Kujiua ndani ya Boti ya Kijeshi aliyoitumia Kulikimbia Jeshi la Hayati Laurent Desire Kabila baada ya kuambiwa limeshaichukua rasmi Congo DR kwa msaada wa karibu na Wanajeshi wa Uganda, Rwanda na wana Usalama kadhaa wa Tanzania ambao Kimaadili nawahifadhi.

Dada yake Jose Kongolo aitwae Ngawali ambaye wengi wenu mlimjua kwakuwa ndiyo alikuwa akipanda Ndege aina ya Jet ya Baba yake kutoka Kinshasa asubuhi kwenda Darasani Kusoma nchini Ufaransa katika Jiji la Paris kwa Kufuru Kubwa ya Hayati Baba yao sasa ni Baamedi katika Hoteli moja Kubwa na maarufu huku nchini Ufaransa huku akiwa na Maisha magumu mno tofauti alivyokuwa awali akilalia katika Chumba chenye Madini ya Almasi tupu.
Kongolo alikufa na dalikimoko.
 
Sawa ikiwa lengo la binti yake Kuku Ngbendu wa Zabanga na familia yake lilikuwa ni kufanya kufuru tu.

Hata hivyo, katika uhalisia, mhusika alikuwa hapati faida yoyote kitaaluma ndo mana akaishia hapo Bar. Aidha, safari kutoka Kinshasa au Gbadolite huchukua masaa zaidi ya Sita.


Wakati mwingine tumwachie Abunuwas na hekaya zake kwa kuwa uhalisia haupo.
Ilibidi nicheke tu,maana nami nimewaza sana
 
kuna interview moja niliwahi iona jb mpiana anahojiwa akiwa kwake, aisee ile sio nyumba bali jamaa anaishi hotelini tena 5 star, kamera ikapelekwa parking, aisee yale magari anayomiliki sio mchezo, siku baada ya kuiangalia ile interview nikaja kutana na ali choki wa twanga pepeta sehemu na usafiri wake nilijikuta nacheka kwa nguvu😂
Mkuu dhambi hiyo
 
Mwenye wimbo wa Wenge musica bcbg ambao kuna kipande Afande anaambiwa aliye kama alivyolia Dar salaam autupie naupenda sana
 
Back
Top Bottom