Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,688
- 80,678
- Thread starter
- #21
vs
Simply myopicDodoma hata ipewe miaka 100 haiwezi ifikia Mwanza sembuse Nairobi ambayo hata Dar inakimbizwa.
acha kujifurahisha basi. Yani ufananishe Dom na Nairobi?Though Dodoma is a progress in making, its time for other East Africans to get to know what plans have so far been executed.
I feel proud of the achievement so far and i am daring to compare these two cities.
Ikulu sio maneno ya kigogo 😝😝 ni maneno ya kisukuma/kinyamwezi uwe unauliza hata kidogo basi
Rekebisho dogo Ikulu ni neno la kinyamwezi makao makuu anapoishi mtemi Si wagogo na hata mfumo unaotumiwa nikama huo ndio maana kuna Mnilkulu amabalo pia ni neno la kinyawezi mtu anayeangalia mambo ya ikulu
Navyofahamu, wagogo ndiyo waliowapa wanyamwezi jina, kwa lugha ya kigogo "nyamwezi" ina maana magharibi, hivyo wenyeji waliotoka upande wa magharibi mwa Dodoma wagogo waliwaita "wanyamwezi" yaani wamagharibi.shukrani sana nimeisoma na nimeielewa nadhani wanaojua historia zaidi yetu waweza kujua zaidi mwingiliano wa haya makabila na chanzo cha utani wao, ninavyojua kiasi hata jina la wagogo walipewa na wasukuma/wanyamwezi walikuwa wakiwashambulia misafara yao wakielekea pwani wakiwa wamejificha kwenye magogo
Mbona ndogoThe upcoming new Msalato International Airport about to kick off!
Jengo kwa ndani wala nje alipo sawa nivizuri kutafuta madizaini profesheno siyo makanjanja tunaowatumia sasaThe upcoming new Msalato International Airport about to kick off!
For a start si baya! Mind u Msalato tunaanza from the scratch! So $250 mln price is reasonable!Jengo kwa ndani wala nje alipo sawa nivizuri kutafuta madizaini profesheno siyo makanjanja tunaowatumia sasa
Na linamaanisha nn kwa Kisukuma? Nyumba ya Mtemi pia?😝😝😝 hujawahi kufika Mwanza kuna maeneo mengi tu yanaitwa Ikulu na Ikurwa na neno Ikulu lipo kwenye kabila la kisukuma
Infra gan?