East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

Though Dodoma is a progress in making, its time for other East Africans to get to know what plans have so far been executed.

I feel proud of the achievement so far and i am daring to compare these two cities.

acha kujifurahisha basi. Yani ufananishe Dom na Nairobi?
Hauko serious wewe
 
Capital Zone Idodomya
EKNLwYhWkAA-HjN.jpeg
EKNLzSdXUAANyM0.jpeg
EKNLxhYW4AA-ubW.jpeg
EKNLyLiXkAAt8WL.jpeg
 
Ikulu sio maneno ya kigogo 😝😝 ni maneno ya kisukuma/kinyamwezi uwe unauliza hata kidogo basi
Rekebisho dogo Ikulu ni neno la kinyamwezi makao makuu anapoishi mtemi Si wagogo na hata mfumo unaotumiwa nikama huo ndio maana kuna Mnilkulu amabalo pia ni neno la kinyawezi mtu anayeangalia mambo ya ikulu

Screenshot_2019-11-25 Mvumi Makulu.png


Ikulu ni neno la kigogo yaani makao ya mtemi (mteni kwa kigogo ni chifu). Mtemi wa wagogo aliyeitwa Mazengo alikuwa anakaa Mvumi Ikulu. Hata hivyo haitashangaza mameno hayo kufanana kwakuwa makabila yanayo pakana huwa yana maneno yanayofanana.

shukrani sana nimeisoma na nimeielewa nadhani wanaojua historia zaidi yetu waweza kujua zaidi mwingiliano wa haya makabila na chanzo cha utani wao, ninavyojua kiasi hata jina la wagogo walipewa na wasukuma/wanyamwezi walikuwa wakiwashambulia misafara yao wakielekea pwani wakiwa wamejificha kwenye magogo
Navyofahamu, wagogo ndiyo waliowapa wanyamwezi jina, kwa lugha ya kigogo "nyamwezi" ina maana magharibi, hivyo wenyeji waliotoka upande wa magharibi mwa Dodoma wagogo waliwaita "wanyamwezi" yaani wamagharibi.
 
Jengo kwa ndani wala nje alipo sawa nivizuri kutafuta madizaini profesheno siyo makanjanja tunaowatumia sasa
For a start si baya! Mind u Msalato tunaanza from the scratch! So $250 mln price is reasonable!
 
Back
Top Bottom