Kaangalie requirements kwenye hiyo link niliyoiweka...kila kitu kimeelezwa humo..shukran mkuu,vp kama nilweza kupata ufadhili kwa mtu wa karibu,bila mzazi kuwepo
Course ni hizo tu hapo juu?Scholarship kwa undergraduate studies, thailand. find the attachments.
Deadline: 30th April 2017
Halafu kama ungeweka link za online application ingekua poa mkuu.Scholarship kwa undergraduate studies, thailand. find the attachments.
Deadline: 30th April 2017
Mbona naona kama kuna malipo unatakiwa ulipe au sijaelewaUnamaanisha nje ya Tanzania? Kama nje ya Tanzania sidhani kama unaweza kupata hiyo scholarship, maana utaonekana wazazi wako wana uwezo wa kifedha. Unless kama nje ulisoma kwa ufadhili, ambapo itabidi uambatanishe ushahidi.
Hiyo scholarship ina target watu kutoka familia zenye uwezo kidogo. Na ni vigumu sana kudanganya. Maana moja ya application document ni financial questionnaire, ambayo ina maswali lukuki juu ya hali ya kifedha ya mwombaji.
ndio....Halafu kama ungeweka link za online application ingekua poa mkuu.
hulipi chochote ukipata scholarship. huo ni mchanganuo wa ada na michango.Mbona naona kama kuna malipo unatakiwa ulipe au sijaelewa
Wapi huko? Na unasoma nini?hulipi chochote ukipata scholarship. huo ni mchanganuo wa ada na michango.
ukipata hiyo ni full.
utajigharamia visa na nauli ya kuja huku tu
Nenda british council pale utafundishwa na pepa utafanyia hapo sio ngumu saaaanaScholarship nyingi zinataka TOEFL hebu tupeana uzoefu maandalizi yake na namna ya kujiandaa kwa ujumla
GHarama zake zzipo vipiNenda british council pale utafundishwa na pepa utafanyia hapo sio ngumu saaaana
Thailand. ninachosoma sio tija sana kwako.Wapi huko? Na unasoma nini?
gharama ya mtihani ni kubwa kiasi. ni kati ya 450,00/- na 550,000/- (Pound 200 kama hawajabadili)GHarama zake zzipo vipi
490000 mpka laki 5GHarama zake zzipo vipi