makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,524
- 82,245
Yule atakuwa anapenda sana kuchovya kama Kevin prince boateng 😂Yap ana takiwa mtu wa maamuzi ya chap Chao.
👉Hata vizia ya cr7 Inge tupsh kinyama.
Leister city kachumua ubingwa akiwa na vardy, sisi tuna mzee wa hospital Jesus😆🤣
Maana kazid kama gari la mkaa, tripu shamba, tripu gereji.
🤣😂