Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,113
- 907
Kwa Ile ya walioba ililetwa na chama Cha siasa gani?? Narudia Tena iundwe taasisi huru ya watu isiyokuwa na mhemuko wala kuongozwaa na chama chochote Cha kisiasa ijapokuwa washiriki wa mchakato huo huenda wakawa na vyama vyao wavipendavyo. Chama chochote chakisiasa kikiongoza zoezi hili haita patikana katiba ya wananchi matokeo yaki itakuwa katiba Kwa matakwa ya chama hicho. Tutakosea pakubwaaMkuu kwa nchi hii utawapata wapi?