greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,099
- 1,882
- Thread starter
- #41
Kata za Wilaya za Ubungo,Temeke na Kigamboni zote ni salama kabisa ...(kata zaidi ya 20)Yani,ni unaishia kubeza tu,,,unashindwa jibu hoja....
Thibitisha kauli yako kwanza juu ya Mikocheni acha michambo....
Kata 15 za Wilaya ya Ilala Juu (Kuanzia Minazi Mirefu kwenda Zingiziwa na Majohe) zote ni Salama
Ilala kata sumbufu ni Jangwani Peke yake
Kata za Kinondoni zote hazina shida ,,Kasoro kata ya Kigogo,Kunduchi na Boko tu....
Tandale,Msasani na Mwananyamala ilishijengwa miundombinu sikuhizi hawana shida kabisa
Sasa hapo nimekutajia kata zaidi ya 60....
Aya njoo wewe, au unajua kutusi tu.😂😂😂