matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,690
- 15,608
Swadakaa.Usihofu,hakuna sehemu itakayoachwa,,,uzi ni endelevu...
Utoe na hali ya amani ya eneo husika. Beach gani ni salama 100% bilq kujali gharama.
Swadakaa.Usihofu,hakuna sehemu itakayoachwa,,,uzi ni endelevu...
Okay nimekupata mkuuSwadakaa.
Utoe na hali ya amani ya eneo husika. Beach gani ni salama 100% bilq kujali gharama.
Mboja jibu lako haliendani? Umesoma vizurUkiwa na jicho la kuona ubaya ,kila kitu kwako utakiona kiona kibaya.
Wewe umeamua kuiangalia Dar es Salaam kwa ubaya, labda kwasababu mazingira uliyowahi kukaa ukiwa Dar yalikuwa mabovu,,,Mboja jibu lako haliendani? Umesoma vizur
Kumbe hukunielewaa,Dar inatakiwa iwe kuwa jiji boraa africa ya mashariki na huu mpango upo sema unagharimu fedha mojawapo ni kuhamisha watu wa vibanda umiza biwanja viuuzwe wa vigogo, Dar imejaa sana ukitaka constraction ya maana near centers lazima uvunje pahali ivo, kulinganisha dom na dar ni fedheha Dar ipo mbaliWewe umeamua kuiangalia Dar es Salaam kwa ubaya, labda kwasababu mazingira uliyowahi kukaa ukiwa Dar yalikuwa mabovu,,,
Ila kwa wale walio/Wanao kaa mazingira mazuri na kwenda sehemu nzuri za Dar,hapa ni pazuri...
Hapo nimekupataKumbe hukunielewaa,Dar inatakiwa iwe kuwa jiji boraa africa ya mashariki na huu mpango upo sema unagharimu fedha mojawapo ni kuhamisha watu wa vibanda umiza biwanja viuuzwe wa vigogo, Dar imejaa sana ukitaka contraction ya maana near centre lazima uvunje pahali ivo, kulinganisha dom na dar ni fedheha Dar ipo mbali
Nimeshaweka na hali ya usalama mkuu.Swadakaa.
Utoe na hali ya amani ya eneo husika. Beach gani ni salama 100% bilq kujali gharama.
Umeingia kwa bahari mbaya ama?Oops !!
Arusha,Zanzibar,Kilimanjaro,Mara na Mbeya ni moja kati ya sehemu ambazo zimekuwa ukipata sifa lukuki juu ya uzuri wa maeneo ndani ya mikoa hiyo.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuonesha uzuri wa Dar,Jiji ambalo mamillion ya watu pamekuwa nyumbani....Kuna maeneo mengi mazuri na vivutio vingi ndani ya mkoa huu ambavyo wengi hawavijui tu.
Tutaanza kwa kuangazia Vivutio vilivyopo Wilaya ya Kinondoni.
MBEZI BEACH : IFukwe za Mbezi,
Kata : Kawe
Wilaya : Kinondoni
Utafaidi:
Eneo lenye uzuri wa kipekee ambalo lina mchanganyiko wa Mazingira ya asili pamoja na yale ya Kujengwa na binadamu.
- Kuogelea kwenye fukwe na swimming pool
- Upepo mzuri wa Fukwe
- Chakula kizuri na Vinywaji
- Michezo ya kwenye maji
- Kuendesha boti ndogo
- Mazingira hayo ya asili ni ufuko wenye mchanga mweupe,Uoto wa mikoko pamoja Bahari.
- Mazingira ya Kujengwa ni Hoteli kubwa zilizopo maeneo hayo pamoja na sehemu za michezo ya kuogelea.
- Hotel:Jangwani,Landmark,White Sands
- Water world
View attachment 2965238Hii ni picha iliyopigwa kwa juu
View attachment 2965240
View attachment 2965241
unafikaje :
Panda gari/bajaji/bodaboda hadi ufike kituo cha basi cha Mbezi Afrikana..ulizia wenyeji Fukwe ya Africana ilipo
Gharama : Nauli kutokea Africana,haizidi 1,000 kwa Bajaj
Kwa huduma za Hotel,Migahawa uwe na takribani 20,000 tsh
Usalama : 90 %
wajuze wenzio
Dar kuna makazi ya Kila ainaSwali: Hizo picha zinahusiana na ubora wa Dar es salaam kama mji wa kuishi?
Kuna watu :
1. Mbezi Beach
2. Mikocheni.
3. Sehemu kibao....
Ambao huacha nyumba zao wakati wa mvua.
Mikocheni ina mitaa mitanoSwali: Hizo picha zinahusiana na ubora wa Dar es salaam kama mji wa kuishi?
Kuna watu :
1. Mbezi Beach
2. Mikocheni.
3. Sehemu kibao....
Ambao huacha nyumba zao wakati wa mvua.
Mikocheni ina mitaa mitano
Taja huo mtaa wa Mikocheni ambao watu wanaacha nyumba kisa mafuriko...
- TPDC : imejaa Viwanda,inamega 40% ya mikocheni
- Mikocheni B : Ushuani na kuna nyumba za mawaziri,30%
- Ali Hassan Mwinyi:Kota za Usalama wa Taifa,LAPF TOWERS,MAKUMBUSHO YA TAIFA ,10 %
- Regent: Kairuki Hospital,Nyumba za NHC,10%
- Mikocheni A : Shopperz,TMJ,Makaburi,makazi ya kawaida,10%
Nimekulia Mikocheni naijua A-Z
Mkuuu,Huijui Dar es salaam
Dar kuna kata zaidi ya 73Huijui Dar es salaam
Dar kuna kata zaidi ya 73
Taja maeneo au Kata 7 ambazo wewe una uhakika zina mafuriko mpaka watu wanakimbia makazi....namimi ntakutajia kata zaidi ya 20 ambazo hakuna hiyo hali yako,,
Nipo hapa nakusubiri....
Yani,ni unaishia kubeza tu,,,unashindwa jibu hoja....Sina mda wa kupoteza, huijui Dar es salaam tuishie hapo. Kumbe unajua kata 20 salama, and the diffefence is 43 of what you know, useless kabisa.