Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,904
- 95,912
Bado anajitafuta yani hajafanikiwa kwenda hata Dubai mpaka leo hiiUlifanikiwa kwenda wapi
Bado anajitafuta yani hajafanikiwa kwenda hata Dubai mpaka leo hiiUlifanikiwa kwenda wapi
Mkuu Samahani sijakuelewa,Hizo kampuni hapo sakina ndio zinatoa ajira nchi za kiarabu?naomba ufafanuziWe jamaa, huna tofauti na wachungqji, waliojaa kila Kona hapa, bongo, wote wanatsfuta namna yq kupata maokoto!
Kwa ufupi, ndugu zangu wasomaji, msiamini sana maneno ya mitandsoni kama haya, hapa, umeweka story zako, za, kusaka kazi, inawezekana ni maneno kama ya kwenye kanga tu,hatuwezi kudhibitisha, ni kama Geodave anaposema alifanya kikao na Mungu!
We huna msaada wowote, unataka vijana waingie kingi tu,
Mchango wangu:kazi, za, makampuni ya simu, Voda, tigo, Airtel, za, kwenye mineral, hufanywa na hizi kampuni, APM, pivotech,Csmusat, NETIS,NEWL(Sakina Arusha). sincro(Dar kwa, mwalimu).
Haya makampuni uajiri hata freshers kutoka vyyoni,baadhi hutangaza nafasi, kwenye kurasa zao, wengine kimya kimya, ibuka Getini pereka CV,
Kampuni nyingine Worldmobile wapo michenzani mall Zenj, floor number 6.hawa, wanafunga internet kwenye mashule,
Huyo amedandia treni kwa mbeleMkuu Samahani sijakuelewa,Hizo kampuni hapo sakina ndio zinatoa ajira nchi za kiarabu?naomba ufafanuzi
Kwa sasa nipo uarabuni huko DubaiWe upo uarabuni?
Kazi...zipo za kumwagaPassport mm nnayo,, upande wa nauli upoje na kazi zipi zinazopatikana sana huko ungeziorodhesha