Combination na Ephraim Kibonde, Gadner Habash na George Bantu, tayari imeyumba

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,869
9,692
Kwa wapenzi nguli wa kipindi pendwa cha mazungumzo ya jioni redioni cha JAHAZI katika redio MAWINGU FM watakubaliana nami kwamba muunganiko wa watangazaji hao watatu niliowataja ulifanya kipindi hiki kunoga...sasa kuondoka duniani kwa Kibonde tayari kumeleta Pengo kubwa sana kwenye kipindi hiki...nafahamu fika hakutapatikana mbadala wa Kibonde aamshe vyema hasa pale kwenye MASTORI YA TOWN...

To God be all the glory. Lala salama Kibonde shabiki wako nguli katika JAHAZI nitakukosa sana.
29403017_2011009785832922_1754321980946907136_n.jpg
 
Alikuwa anatuvusha sana kwenye foleni za barabarani na jahazi lake. Pumzika kwa amani Kibonde. MUNGU awalinde watoto wake.
 
Alikuwa anatuvusha sana kwenye foleni za barabarani na jahazi lake. Pumzika kwa amani Kibonde. MUNGU awalinde watoto wake.
Kabisa yaani ile jioni foleni unakuwa huioni jamaa akianza kupiga stori zake. Tuwaombee neema watoto wake waliosalia yatima.
 
Back
Top Bottom