N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,869
- 9,692
Kwa wapenzi nguli wa kipindi pendwa cha mazungumzo ya jioni redioni cha JAHAZI katika redio MAWINGU FM watakubaliana nami kwamba muunganiko wa watangazaji hao watatu niliowataja ulifanya kipindi hiki kunoga...sasa kuondoka duniani kwa Kibonde tayari kumeleta Pengo kubwa sana kwenye kipindi hiki...nafahamu fika hakutapatikana mbadala wa Kibonde aamshe vyema hasa pale kwenye MASTORI YA TOWN...
To God be all the glory. Lala salama Kibonde shabiki wako nguli katika JAHAZI nitakukosa sana.
To God be all the glory. Lala salama Kibonde shabiki wako nguli katika JAHAZI nitakukosa sana.