Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
You have hit the nail dude!
Mimi nishaanza waogopa hawa!, nafikiri approach yetu kwa hawa jamaa iwe more 'diplomatic',esp. wakichapwa..! tumeshazoea kuwasiliba vibaya Ze Gunnaz ila hawa ukigusa tu, lazima uingie choo cha kike-the next day unaweza kuta hataku-log inn humu ndani ikawa utata!
All n All thanx for taking the initative, kumbe mlikuwa wengi washabiki bwana mmejificjha?, mkawa mnadandia dandia tuu threads za timu sio zenu?
Nawasubiri Liverpool nao wa-take initiative kam yenu, nafikiri itapendeza zaidi kuwa na BIG FOUR ndani ya Jukwaa letu la 'kupunguza Stress'..!
Jamani mnavijisababu vyenu lakini anyway tutaona kadri msimu unavyoendelea.
Nyie mashabaki wa Man U pia mnazenu....sasa mumeambiwa na nani tutawazuia kuchangia?Tuko wengi lakini mlikua mumetu-overshadow na
thread zenu naswi ikabidi tuchunetu.Sasa tumeanza thread yetu mnasema
eti tuko wengi...mlikua hamjui?...acheni longolongo yenu (Manda na Roya Roy)
...hebu wish us the best na hao Roma basi...kwa roho safi.