Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,376
- 8,104
Sasa wananchi tukimbilie chama gani?
View: https://twitter.com/Tanzaniawall/status/1786251731120058804?s=19
View: https://twitter.com/Tanzaniawall/status/1786251731120058804?s=19
Ndiyo maana huwa nawambia wananchi wasiendeshwe sana na maneno ya wanasiasa.
Kama CHADEMA wanagawa rushwa ili kupata uongozi, ni kwa namna gani wataweza kuikosoa Serikali ya CCM kwenye mambo ya rushwa?
Hamkani si shwari tena...anayehonga ni Mama Abduli.
..Na anatumia fedha za umma.
..suluhisho ni Katiba Mpya itakayozuia upuuzi wa aina hiyo.
Hamkani si shwari tena.
Sasa wananchi tukimbilie chama gani?
View attachment 2979521
View: https://twitter.com/Tanzaniawall/status/1786251731120058804?s=19
Lete video tuone ametajwa wapi mama AbdulKwani aliyepeleka hizo hela ni mbowe? Huyo mama Abdul aliyetajwa kwanini yeye asitajwe na hao jambo Tv? Je wamesimamia maoni ya Lissu au ni maoni ya Jambo Tv?
Haya maswali unatuuliza sie au Lissu?Kwani aliyepeleka hizo hela ni mbowe? Huyo mama Abdul aliyetajwa kwanini yeye asitajwe na hao jambo Tv? Je wamesimamia maoni ya Lissu au ni maoni ya Jambo Tv?
Kama kinaweza kudhoofika basi hiki siyo chama tena anymore bali ni kundi la wajasiriamali wa siasa.Uchaguzi ndani ya Chadema ni sawa na kumchinja nyati mbele ya kundi la watu wenye uchu wa nyamapori, kila mtu anammezea mate. CCM na maajenti wake wanatumia kila njia waweze kufanikiwa kuingiza watu wao watakao kidhoofisha chama.
Asante kwa kushiriki japo uelewa wako wa kupambanua mambo ni mdogo, nilichoandika na jibu lako havifanani.Kama kinaweza kudhoofika basi hiki siyo chama tena anymore bali ni kundi la wajasiriamali wa siasa.
Kakwepa kesi. Anamjua mama AbdulMama Abdul wako wengi. Mtaje kwa jina lake la NIDA
Akili kisodaKama kinaweza kudhoofika basi hiki siyo chama tena anymore bali ni kundi la wajasiriamali wa siasa.