johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,660
- 145,431
Wakati Ule ilidaiwa Shujaa Magufuli anahinga wanachama wa Chadema Ili waunge juhudi
Leo tunaambiwa CCM inawaingilia Chadema kwenye Chaguzi za Ndani Ili kuwafubaza kama walivyoingilia Uteuzi wa Wabunge wa COVID 19 Ili KUWAFUBAZA
Ndio tunajiuliza je ni Shujaa Magufuli kafufuka na kumtokea Abood ama?!🐼🐼
Jumaa Mubarak 😃
Leo tunaambiwa CCM inawaingilia Chadema kwenye Chaguzi za Ndani Ili kuwafubaza kama walivyoingilia Uteuzi wa Wabunge wa COVID 19 Ili KUWAFUBAZA
Ndio tunajiuliza je ni Shujaa Magufuli kafufuka na kumtokea Abood ama?!🐼🐼
Jumaa Mubarak 😃