Bunge limejadili muswada wa sheria ambao utampa/ruhusa ya askari polisi kufanya tendo lolote bila ya kushtakiwa endapo itapita

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Nov 18, 2014
437
1,077
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Hii ni nzuri itatusaidia kudili now man to man,
Bila kutegemea sheria.
 
Upuuzi sana huu, leo hawaoni kesho wataanza kuulizana tulizipitishaje hizi sheria jamani,

Katika muhimili ambao kwa sasa hauna kazi ni Bunge, hayo ma bilioni wanayochezea kwenye hilo jengo la anasa Bora yaelekezwe kwenye kilimo na mafunzo kwa vitendo kuliko kuwapa hao wadhaifu.
 
Upuuzi sana huu, leo hawaoni kesho wataanza kuulizana tulizipitishaje hizi sheria jamani,

Katika muhimili ambao kwa sasa hauna kazi ni Bunge, hayo ma bilioni wanayochezea kwenye hilo jengo la anasa Bora yaelekezwe kwenye kilimo na mafunzo kwa vitendo kuliko kuwapa hao wadhaifu.
Bunge Lifutwe Halina Maana Tena
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Inasikitisha sana. Kama kwa sheria zilizopo tu malalamiko ya kuteswa na kufia mikononi mwa polisi yapo, je huo muswada ukitoa kinga ya namna hiyo si malalamiko yatazidi?
 
Wanatengeneza nyezo kwajili ya uchaguzi ujao Mana hawana namna ......ukiuawa ukibakwa alikua kwenye operation aliyekuua ,jamani huyu mnyalu Simba chawene na nimwanasheria sijui daaaaaa
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Unategemea nini kutoka kwa bunge kama hili. once pathetic, always pathetic
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Safi sana Uzuri SHERIA NI MSUMENO haitakuwa kwa Wapinzani hata wao itawakata

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Duh!
Utawala umechoka sana huo🙄
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Duh!
Utawala umechoka sana huo🙄
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Kama ni hivyo, wamelenga chaguzi Askari wajeruhi na wasishitakiwe, CCM ushindi wao hutegemea jeshi hili kwa kuwa sanduku la kura ni kesho hawapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bunge lenu leo limejadili muswada wa sheria ambao unampa ruhusa askari polisi kufanya tendo lolote la jinai wakati wa kutafuta ushahidi anaotafuta katika operations (wameziita undercover operations) na hakuna kushtakiwa popote. Anaweza kubaka, kujeruhi na hata kuua.
Duh!
Utawala umechoka sana huo🙄
 
Back
Top Bottom