NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,986
- 12,034
Wanaumia sana hawa jamaa. Ukiona mtu anasema unajishaua jua hapo ndio insecurity yake ipo - yani anajiona kuwa chini yako ndio akipewa reason yoyote kuwa uko chini, atataka kuikubali na roho yake yote ndio hizo insecurities zake ziishe.๐Huwa wanatamani sana kutujua๐๐.
Picha sisi ndio tunaamua kupost. Mimi tangu nianze kupost picha zangu waligive up doing guess work on me๐๐.
Na picha zangu zote huwa na za 5yrs kurudi nyuma. Hii yenye nimeweka profile picture ni ya 8yrs ago when I was in Campus. Picha za 2025 ntapost in 2029 in case bado watakuwa alive๐๐. Kuna mwingine nilipeleka na akajianika huku, jamaa mapua na Maskio ni Kama Sinia alafu jamaa ni maskini hoehae ๐๐