ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 74,690
- 140,249
Alichokufanya mchina ni kupaka rangi Tu nothing else ndio maana mchina anawatandika mpaka viboko kondoo nyinyiππππ
Alichokufanya mchina ni kupaka rangi Tu nothing else ndio maana mchina anawatandika mpaka viboko kondoo nyinyiππππ
Mmezoea kununua SGR trains used unadhani Kenya ni Kama Tanzania. By the way Yemen kuna SGR?Alichokufanya mchina ni kupaka rangi Tu nothing else ndio maana mchina anawatandika mpaka viboko kondoo nyinyiππππ
Hebu nenda Google halafu utafute hivi:- " tanzania sgr vs kenya sgr speed". Ukipata jibu walalamikie Google wabadili ifanane na matakwa yako.ππMmezoea kununua SGR trains used unadhani Kenya ni Kama Tanzania. By the way Yemen kuna SGR?
Kama hizi au sio ππππ mama Ngina aliwaambia ni used au??Mmezoea kununua SGR trains used unadhani Kenya ni Kama Tanzania. By the way Yemen kuna SGR?
Polisi wakileta ujuaji lazima wanyoroshwe kidogo. Wanadhani KDF ni raia wenye wanadhulumu kila siku.
Back to your poor and lazy army, what kind jokes are they doing in front of important dignitaries? Canβt you see how those jokers are embarrassing Tanzania?