Bahati Bukuku ni mama, Rose Mhando Ni kabinti kwenye uandishi

Bahati Bukuku - Nimekukimbilia

Rose Muhando - Moyo Wangu


Ngoma zangu kali za muda wote.
Rose kwenye Moyo Wangu alitulia, ni wimbo ambao upo underrated Ila kwangu hautoki kwenye playlist

Rose ni the best kwenye nyimbo za kusifu ila Bahati Bukuku kwenye nyimbo za masimulizi maana ni ngumu kumuweka katika category ya kusifu au kuabudu 😁...

Wote wapo vizuri kwa namna yao
 
Umechagua nyimbo mbili za Rose Muhando kulinganisha na nyimbo kali za Bahati Bukuku.

Ijapokuwa si sahihi sana kulinganisha watumishi wa Mungu katika uimbaji kwa sababu wote wanamtumikia Mungu na nyimbo zao zinamtukuza, ila honestly Rose is miles away kwa Bahati.

Kazi ya mtumishi ni kuwavuta watu wafurahi huku ukipitisha ajenda za kumtukuza Mungu..

Si lazima vifungu vya Biblia vitawale katika wimbo wako, lakini kama inawapa moyo wa kuinuka waliokata tamaa, kuwakumbusha ukuu wa Mungu wale waliokengeuka, kuwapa imani ya kumshinda shetani wanaowaza kushindwa.

Nyimbo nyingi tu za Rose zinaishi na zitaendelea kuishi.

Tafadhali msimu-under rate mtu.
Umemaliza...
 
Huyu jamaa kazingua Sana lakini tuheshimu maoni yake lakini ukweli utabaki kua ukweli Rose Muhando ndiye mwimbaji na mtunzi Bora wa Gospel Kwa wamama tangu Tanzania ianze..

Kuna Ngoma za Rose ambazo zikipigwa hata sasa hivi utatamani kuokoka...

Hebu leta Ngoma za bahati bukuku zenye utunzi maridadi kuliko hizi za Rose hapa Chini...

Nipe uvumilivu
Wanyamazishe
Nakaza mwendo
Mteule uwe macho
Yesu Nakupenda
Si Salama
Mapambio
Raha
Hatumo
Nibariki

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Rose atabaki kua legend Hadi kiama. Huwezi mlinganisha Zinduna na Mzee tupatupa
Kuna hizi nyimbo za Bukuku zinanibariki sSana
Kila alitajae jina la bwana aache uovu
Nimebaki na Yesu
 
Una uhakika kuwa hao ni watumishi wa Mungu?
Thibitisha jibu lako kwa kutoa ushahidi usiotia shaka.
Umechagua nyimbo mbili za Rose Muhando kulinganisha na nyimbo kali za Bahati Bukuku.

Ijapokuwa si sahihi sana kulinganisha watumishi wa Mungu katika uimbaji kwa sababu wote wanamtumikia Mungu na nyimbo zao zinamtukuza, ila honestly Rose is miles away kwa Bahati.

Kazi ya mtumishi ni kuwavuta watu wafurahi huku ukipitisha ajenda za kumtukuza Mungu..

Si lazima vifungu vya Biblia vitawale katika wimbo wako, lakini kama inawapa moyo wa kuinuka waliokata tamaa, kuwakumbusha ukuu wa Mungu wale waliokengeuka, kuwapa imani ya kumshinda shetani wanaowaza kushindwa.

Nyimbo nyingi tu za Rose zinaishi na zitaendelea kuishi.

Tafadhali msimu-under rate mtu.
 
anyway me wote nawakubali, even though im muslim ila mom mkristo dad muslim nkafata kwa baba though nimeish sana na mom than dad nikiwa mdogo.

nyimbo nazopenda sana recently

Tuliza mawimbi - bahati bukuku

Wamandoa wakikaa miaka mingi, wanaanza kufanana sura zao (song called nataka kufanana na yesu) - bahati bukuki

Mteule uwe macho - Rose (wa sku mingi but sijawah uchoka)

Maamuzi - bahati

Esther -bahati

kina mama wa leo - rose

za rose za kitambo ni nyingi sana napenda , thogh za recently sijazifatilia hata sizijui but ako poa

*ila in gosple songs, my fav ni bahati bukuku aisee, akifatiwa na christina shusho then rose muhando, hawa ndo my top 3, na rose amekua wa 3 cas sijamfatilia sana kwa mda mrefu, but ingekua afe zile, hadi 2010 angekua ndo wa kwanza aisee ila wote top 3 wako amazing
 
Nimepitia maoni yote nasikitika hakuna aliyeweza kumpa Rose Muhando heshima yake stahiki.

Hakuna mwanamuziki wa kike aliyewahi kutokea nchi hii kama Rose Muhando, kuanzia uandishi hadi uimbaji. Wengi mnachanganya mapito aliyopitia katika maisha yake binafsi kumnyima heshima yake, sio sawa.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani! Nchi nyingine wanatamani Rose angekuwa mzaliwa huko kwao. Nendeni Rwanda muone, Kenya je? Sijaongelea Kongo.
Upanga uitwe upanga, Rose ni gwiji.
 
Rose ni mwimbaji wa taarabu hana tofauti na akina Hadija Kopa, Mzee Yusuph, tune za nyimbo zake ni nzuri ila content yake ni masimango, vijembe, kejeli nk, angetumia tune hizo kunukuu vifungu vya maandiko matakatifu basi angewajenga wengi kiimani
Unamkosea heshima rose
 
Bado tunaweza kutoa credit kwa watu tunawakubali bila kuwashusha wengine. Bahati Bukuku na Rose Mhando kila mtu anafanya vizuri kwenye eneo lake, wana uandishi tofauti na hivyo ndio vinafanya tuwapende.
 
Nadhani jambo hilo linachagizwa na idadi ya nyimbo,rose ana nyimbo nyingi sana,bahati ana nyimbo chache naweza sema anapata muda mzuri wa kutulia kuandika.

Nyimbo za rose ambazo unaweza kiri kwamba alitulia akiandika.
1-Akina mama-kuna ujumbe mkali sana kwa wanawake wenzake kuhusu ndoa mule.

2-tabu zangu.

3-woga wako-inspiration kwa watafutaji.

4-ombi langu-huu hauna hata miaka 2

na nyingind baadhi ila nyingi zimekaa kisanii zaidi sio injili.
 
Rose kwenye Moyo Wangu alitulia, ni wimbo ambao upo underrated Ila kwangu hautoki kwenye playlist

Rose ni the best kwenye nyimbo za kusifu ila Bahati Bukuku kwenye nyimbo za masimulizi maana ni ngumu kumuweka katika category ya kusifu au kuabudu 😁...

Wote wapo vizuri kwa namna yao
Nimepitia maoni yote nasikitika hakuna aliyeweza kumpa Rose Muhando heshima yake stahiki.

Hakuna mwanamuziki wa kike aliyewahi kutokea nchi hii kama Rose Muhando, kuanzia uandishi hadi uimbaji. Wengi mnachanganya mapito aliyopitia katika maisha yake binafsi kumnyima heshima yake, sio sawa.

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani! Nchi nyingine wanatamani Rose angekuwa mzaliwa huko kwao. Nendeni Rwanda muone, Kenya je? Sijaongelea Kongo.
Upanga uitwe upanga, Rose ni gwiji.
Kiukweli nakiri kama watanzania rose tulimkosea sana kumpuuza,wakenya walitushangaa sana.
Na kama si wao angebaki kumbukumbu tu saa hizi.
 
Bukuku anajua nyimbo za kulia za kuchangamka hawezi lakini Rose anapiga nyimbo zote kulia na kuchangamka na bado akafanya vizuri na nyimbo zake hazijabezi kwenye dini hata muislam anaweza kusikiliza Yani kwenye nyimbo za dini kwa Tz hakuna Kama Rose
 
Umechagua nyimbo mbili za Rose Muhando kulinganisha na nyimbo kali za Bahati Bukuku.

Ijapokuwa si sahihi sana kulinganisha watumishi wa Mungu katika uimbaji kwa sababu wote wanamtumikia Mungu na nyimbo zao zinamtukuza, ila honestly Rose is miles away kwa Bahati.

Kazi ya mtumishi ni kuwavuta watu wafurahi huku ukipitisha ajenda za kumtukuza Mungu..

Si lazima vifungu vya Biblia vitawale katika wimbo wako, lakini kama inawapa moyo wa kuinuka waliokata tamaa, kuwakumbusha ukuu wa Mungu wale waliokengeuka, kuwapa imani ya kumshinda shetani wanaowaza kushindwa.

Nyimbo nyingi tu za Rose zinaishi na zitaendelea kuishi.

Tafadhali msimu-under rate mtu.
Bora hata umesema wee, huyo Bahati kukariri vifungu vya biblia ndo amzidi Rose mwenye nyimbo nyingi za maono, na mafundisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom