Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Focus ni muhimu sana maana inakutoa sehemu moja na kuelekea nyingine..sasa kitu muhimu kingine ni kuhakikisha hiyo biashara yako inazaa biashara nyingine...na nyingine tena..then hapo..lazima umasikini uuage...Mungu saidia tu...over

F-Follow
O-One
C-Course
U-Until
S-Successful

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Nakukubali hapo uliposema wazo la kwanza liwe kipaji chako, au hobby so to speak. Faida ya kucheza na hobby ni kuwa kiwango cha uvumilivu huwa cha juu tofauti na yule anayefanya only for the sake if money.

Hongera kwa mada nzuri.


Mkuu ni kweli kabisa, Hoby na Skills uliyo nayo ndo Idea zako za kwanza kabisa, Na huwa inasikitisha sana kukuta mtu amesomea syansi ya wanyama, na baadae unmkuta anauza bidhaa za jumla,

Mara nyingi sehemu ya kwanza ya kupata Experiens ya Business ni kazini kwako kwa walio ajiliwa na hii ni kutokana na ukweli kwamba wengi wanao acha kazi hufanya biashara zinazo fanana na kazi walizo kuwa wakifanya, Kama Ilikuwa Mpishi wa Hoteli fulani tunategemea ufungue mgahawa wa Chakula, na kama ulikuwa umeajiriwa kama mchomeraji wa Vyuma tunatarajia uanzishe ofisi yako ya Kuchomerea,
 
Nakukubali hapo uliposema wazo la kwanza liwe kipaji chako, au hobby so to speak. Faida ya kucheza na hobby ni kuwa kiwango cha uvumilivu huwa cha juu tofauti na yule anayefanya only for the sake if money.

Hongera kwa mada nzuri.

Ni kweli kabisa mkuu, hobby ndo sehemu kuu kabisa ya kupata wazo zuri la kuja kubadilisha maisha yako.
 
Mchanganuo wako ni mzuri sana nimeupenda umenichochea kufanya jambo fulani,lakini wengi wetu nikiwemo mimi, niuoga wa kufail pale unapoanzisha hiyo biashara.

Ningependa urudi tena strategies zinazoweza kutupa moya na kutujengea ujasiri pale unapo anguka mara tu baada ya kuanzisha biashara fulani.

Kama mchangiaji mwingine alivyosema kuwa mitaji ndio tatizo.mfano salary man, njia pekee ya kumkomboa ni loan kutoka katika hizo taasisi mbalimbali za kifedha, kwa hapa kwetu makato au marejesho huwenda yakatuvunja moyo na kuzidisha hii hofu yetu ya kufail pale utapoanzisha mradi fulani.

Nashukuru kwa kuwa nimeiyona njia japo bado nina hofu.Msaada wako wakimawazo unahitajika.
 
Chasha, nataka kujifanya Musa, niwatoe wanaisrael kutoka misri hadi nchi ya ahadi... kuna vikundi kijijini kwangu, ni masikini sana na hawana elimu yoyote. maisha yao ni shida sana. nataka kuwa-support waweze kuwa na miradi yao ya uzalishaji (IGA). nimepitia literature nyingi za entrepreneurship, nimejenga imani kuwa katika makundi ufanisi utakuwa mdogo kuliko nikiwa-support mojammoja (...may be am wrong).

Challenge niliyoiona ni kwamba mawazo wanayotoa wao (yaani types of IGA they propose) naona kama hazitaleta faida/tija yoyote na pengine nitapoteza bure msaada wangu wasibadilike chochote katika maisha yao. Naomba unishauri, naweza kuwabunia biashara ya kufanya ambayo haipo akilini mwao? ni jinsi gani naweza kuwashauri wazo langu likawanufaisha?

Nitashukuru pia kama utanipanua mawazo zaidi
 
Kitumbo,
Mheshimiwa Kitumbo, kwani ukitazama IGA wanazopendekeza wao hazi-reflect opportunities zilizopo na mahitaji yaliyopo eneo lao? Maana mara nyingi mtu huzingatia sana kufanya kile roho yake inapenda na anachokielewa vizuri!

Nadhani jitahidi sana kuendana na mazingira ya jamii husika, fursa zilizopo, vikwazo vilivyopo na quality ya rasilimali watu iliyopo hapo. Wafanye wazione fursa hizo na vikwazo ili uwapeleke kwenye mwelekeo unaoutaka wewe. Ingefaa uanzie kwenye level waliyopo wao ili mwende pamoja, usiende na mambo makubwa sana unayoona wewe kuwa ndiyo yatawasaidia.

Kunaufanisi sana ukishughurika na mtu mmoja mmoja ila dosari yake ni very costly. Anyway tusubiri Mkuu Chasha aje atoe mwelekeo hapa!
 
Kitumbo,
Mkuu nikweli hayo Mambo Vijijini yako sana na hata mijini, Unaweza kuta kuna Furusa kibao lakini wanachi wamekomaa na biashara za ajabu sana sana sana ni vijiduka vya kuuza chunvi na sukari, Mimi nzani ni kuyongea nao na unaweza tafuta na watu wengine wakakusaidia kuongea nao, na ikibidi unaweza wafanyia Vist ya kutembelea baadhi ya maeneo wakajionea kwamba inawezekana

Kuhusu Individual au groups, ni kweli mara nyingi kweny group kila mtu anakuwa na intrest tofauti, ingawa some time inawezekana, so ni wewe mwenyewe uone kama hao watu wanaweza fanikiwa wakiwa kwenye kikundi au kila mtu kivyake
 
Chasha unatisha Mkuu !!! Asante sana kwa bandiko lako. Mkuu mimi sasa acha nicheze na Copy and Paste from India, yaani kama ulikuwa kichwani kwangu vile, kuna business moja India nimeisoma kwenye mtandao imenivutia sana na inaweza kulipa Bongo sana tu ikifanyiwa ukarabati kulingana na mazingira yetu!

Ya mkuu copy and pest nayo ni moja ya sehemu za kupata wazo zuri, na Biashara nyingi ni za copy, edit and pest,
 
Back
Top Bottom