Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Katika uwanja wa Allianz Arena, jijini Munich nchini Ujerumani kuna mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya UCL.
Baada ya droo ya 2-2 wiki iliyopita, leo Bayern Munich wanawakaribisha Arsenal.
Hili ndio taji pekee ambalo Bayern kabakisha na nina uhakika watataka wafike mbali zaidi baada ya kuukosa ubingwa wa Bundesliga. Kwakuwa Bayern ni timu ya vikombe, siwaoni Arsenal wakitoboa leo.
Leo Arsenal atapigwa kama kasimama na kuendelea na rekodi yake ya kumaliza bila kombe kila msimu.
Tukutane saa 4:00 usiku
Baada ya droo ya 2-2 wiki iliyopita, leo Bayern Munich wanawakaribisha Arsenal.
Hili ndio taji pekee ambalo Bayern kabakisha na nina uhakika watataka wafike mbali zaidi baada ya kuukosa ubingwa wa Bundesliga. Kwakuwa Bayern ni timu ya vikombe, siwaoni Arsenal wakitoboa leo.
Leo Arsenal atapigwa kama kasimama na kuendelea na rekodi yake ya kumaliza bila kombe kila msimu.
Tukutane saa 4:00 usiku