Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 996
- 1,934
Kazi maalum kujichanganya Leo, ulitaka utongozwe eeh ๐๐
George unapelekewa moto unahamasisha ushoga unataka kuolewa hii mada mod's haijakaa sawa kulingana na jinsia ya huyu jamaa!Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali.
Yaani mkikutana faragha mashine yake haisimami na ikisimama dakika 1 tu inalala tena, basi huwa nasema labda asubuhi itasimama lakini pia wapi.
Nashindwa elewa nitawezaje ishi na mtu wa namna hii, na analazimisha mwaka huu tufunge ndoa, huwa najaribu kumshauri jinsi ya kujitibu lakini kuna muda anakuwa mkali, anasema yeye ni mwanaume kamili hana shida yoyote.
Na hiki kitu kinapelekea hadi kuna muda huwa namchukia, hata kuonana nae huwa nafikiria sana maana hakuna mtakachofanya, kuandaa kwenyewe hajui yeye ni mtu wa kuforce apande tu, akipanda hapohapo anakuwa ashamaliza hachukui hata mzunguko.
Nisaidie nitaishi vipi na mtu wa namna hii, na ni kijana wa miaka 34 lakini kila nikijaribu kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya zamani hakuna anachonijibu hadi huwa nahisi labda hajawahi kuwa kwenye mahusiano.
Huwa nahisi pia labda ubize wa kazi zake ndio zinamfanya awe hivyo lakini mbona wikiendi anapata muda wa kupumzika vizuri tu?.
Mbona jina lako ni George la kiume? Pia huyo kijana atumie tiba mbadala atapona.Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali.
Yaani mkikutana faragha mashine yake haisimami na ikisimama dakika 1 tu inalala tena, basi huwa nasema labda asubuhi itasimama lakini pia wapi.
Nashindwa elewa nitawezaje ishi na mtu wa namna hii, na analazimisha mwaka huu tufunge ndoa, huwa najaribu kumshauri jinsi ya kujitibu lakini kuna muda anakuwa mkali, anasema yeye ni mwanaume kamili hana shida yoyote.
Na hiki kitu kinapelekea hadi kuna muda huwa namchukia, hata kuonana nae huwa nafikiria sana maana hakuna mtakachofanya, kuandaa kwenyewe hajui yeye ni mtu wa kuforce apande tu, akipanda hapohapo anakuwa ashamaliza hachukui hata mzunguko.
Nisaidie nitaishi vipi na mtu wa namna hii, na ni kijana wa miaka 34 lakini kila nikijaribu kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya zamani hakuna anachonijibu hadi huwa nahisi labda hajawahi kuwa kwenye mahusiano.
Huwa nahisi pia labda ubize wa kazi zake ndio zinamfanya awe hivyo lakini mbona wikiendi anapata muda wa kupumzika vizuri tu?.
Ila bora kajiwahi.Sasa ndio uje kunisema huku, nawewe nani alikuambia unipe mapema
View attachment 2978637
Kwasababu tu anakua mkali,ila angehitaji kupona angepona,Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali.
Yaani mkikutana faragha mashine yake haisimami na ikisimama dakika 1 tu inalala tena, basi huwa nasema labda asubuhi itasimama lakini pia wapi.
Nashindwa elewa nitawezaje ishi na mtu wa namna hii, na analazimisha mwaka huu tufunge ndoa, huwa najaribu kumshauri jinsi ya kujitibu lakini kuna muda anakuwa mkali, anasema yeye ni mwanaume kamili hana shida yoyote.
Na hiki kitu kinapelekea hadi kuna muda huwa namchukia, hata kuonana nae huwa nafikiria sana maana hakuna mtakachofanya, kuandaa kwenyewe hajui yeye ni mtu wa kuforce apande tu, akipanda hapohapo anakuwa ashamaliza hachukui hata mzunguko.
Nisaidie nitaishi vipi na mtu wa namna hii, na ni kijana wa miaka 34 lakini kila nikijaribu kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya zamani hakuna anachonijibu hadi huwa nahisi labda hajawahi kuwa kwenye mahusiano.
Huwa nahisi pia labda ubize wa kazi zake ndio zinamfanya awe hivyo lakini mbona wikiendi anapata muda wa kupumzika vizuri tu?.
๐๐๐Waeza kuta mleta uzi ana Id za jinsia zote ila hapo kajichanganya kwenye kulog in. ๐
๐๐๐๐Nje ya mada
Kama anaishikilia kama utambi unavyoingizwa kwenye taa hapo kuna tatizo
Naunga mkono hojaPapaaa joji muke ya watu, kwa mara nyingine tena........
Huenda anaitwa Georgia au GeorginaUnaitwa George ila ni mwanamke.. au mkuu umeandika kwa niaba ya gf wako unataka usaidiwe na wanaJF?
Unaitwa George ila ni mwanamke.. au mkuu umeandika kwa niaba ya gf wako unataka usaidiwe na wanaJF?
wee mtaniii??Waeza kuta mleta uzi ana Id za jinsia zote ila hapo kajichanganya kwenye kulog in.