george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,277
- 1,942
Habari yenu wana JF nipo kwenye mahusiano mwanaume, ambaye hata sielewi anaumwa au ana tatizo gani, nimejitaidi kwa hali lakini bado hapati afadhali.
Yaani mkikutana faragha mashine yake haisimami na ikisimama dakika 1 tu inalala tena, basi huwa nasema labda asubuhi itasimama lakini pia wapi.
Nashindwa elewa nitawezaje ishi na mtu wa namna hii, na analazimisha mwaka huu tufunge ndoa, huwa najaribu kumshauri jinsi ya kujitibu lakini kuna muda anakuwa mkali, anasema yeye ni mwanaume kamili hana shida yoyote.
Na hiki kitu kinapelekea hadi kuna muda huwa namchukia, hata kuonana nae huwa nafikiria sana maana hakuna mtakachofanya, kuandaa kwenyewe hajui yeye ni mtu wa kuforce apande tu, akipanda hapohapo anakuwa ashamaliza hachukui hata mzunguko.
Nisaidie nitaishi vipi na mtu wa namna hii, na ni kijana wa miaka 34 lakini kila nikijaribu kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya zamani hakuna anachonijibu hadi huwa nahisi labda hajawahi kuwa kwenye mahusiano.
Huwa nahisi pia labda ubize wa kazi zake ndio zinamfanya awe hivyo lakini mbona wikiendi anapata muda wa kupumzika vizuri tu?.
Yaani mkikutana faragha mashine yake haisimami na ikisimama dakika 1 tu inalala tena, basi huwa nasema labda asubuhi itasimama lakini pia wapi.
Nashindwa elewa nitawezaje ishi na mtu wa namna hii, na analazimisha mwaka huu tufunge ndoa, huwa najaribu kumshauri jinsi ya kujitibu lakini kuna muda anakuwa mkali, anasema yeye ni mwanaume kamili hana shida yoyote.
Na hiki kitu kinapelekea hadi kuna muda huwa namchukia, hata kuonana nae huwa nafikiria sana maana hakuna mtakachofanya, kuandaa kwenyewe hajui yeye ni mtu wa kuforce apande tu, akipanda hapohapo anakuwa ashamaliza hachukui hata mzunguko.
Nisaidie nitaishi vipi na mtu wa namna hii, na ni kijana wa miaka 34 lakini kila nikijaribu kumuuliza kuhusu mahusiano yake ya zamani hakuna anachonijibu hadi huwa nahisi labda hajawahi kuwa kwenye mahusiano.
Huwa nahisi pia labda ubize wa kazi zake ndio zinamfanya awe hivyo lakini mbona wikiendi anapata muda wa kupumzika vizuri tu?.