X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,692
- 12,286
kuna hii fursa imejitomeza huko TAESA, nimeona nisiwe mchoyo ni waletee humu ili MADEREVA wenye vigezo mkajaribu bahati yenu hii fursa bwana ni mkataba wa mwaka mmoja.
kama upo Dar es salaam hakikisha unaenda kwenye ofisi za TAESA wanazo ajira za udereva wanahitajika madereva wengi sana.
kama upo Dar es salaam hakikisha unaenda kwenye ofisi za TAESA wanazo ajira za udereva wanahitajika madereva wengi sana.
- Uwe na elimu ya kidato cha nne na kuendelea...!
- Uwe na uzoefu wa kuendesha magari makubwa kuanzia miaka 5,
- Uwe na Leseni ya class E.
muende kwa wingi mwambie Dereva mwenzako amwambie dereva meenzie, Jumatatu hii 29/4/2024