Aisee! Ukiwa na mtoto nje unawezaje wasiliana bila kikwazo cha mkeo wa sasa hivi?

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,656
1,884
Napigwa bit kwa kuhisi kua nataka kuwasiliana na mama yake mtoto nikiwa na mke wa sasa.. Vipi huko mwenzangu? Imekua kesi, yaani sipati wasaa wa kuongea na dogo kwa sasa ana miaka 4. Toka niachane na mama yake. Ishu kubwa ni wivu kwa huyu wa sasa.

Amenisemelea kwa mama yangu mzazi yaani nimefokewa na maza sio poa wakati sina negative movement.
 
Napigwa bit kwa kuhisi kua nataka kuwasiliana na mama yake mtoto nikiwa na mke wa sasa.. Vipi huko mwenzangu? Imekua kesi, yani sipat wahasa wa kuongea na dogo kwa sasa Ana miaka 4. Toka niachane na mama yake. Ishu kubwa ni wivu kwa huyu wa sasa.
Mkeo anakupiga bit na wewe unanywea?

Nakuambiaje, katika hiyo familia wewe ni msaidizi wa mkeo. Naye ndiye kiongozi wa familia.
 
Back
Top Bottom