Aibu nyingine kubwa kwa Israel

green rajab

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
11,364
35,975
Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
⚡️BREAKING

Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
 

Attachments

  • IMG_20240414_090036.jpg
    IMG_20240414_090036.jpg
    608.2 KB · Views: 1
Nyie mechanganyikiwa, huyo Iran wenu, kweli unaamini anaweza kuhimili vita dhidi ya Israel, Jordani, USA? Anatafuta kuharibu nchi yake nzuri ambayo inakuja katika suala zima la maendeleo.
 
Nyie mechanganyikiwa, huyo Iran wenu, kweli unaamini anaweza kuhimili vita dhidi ya Israel, Jordani, USA? Anatafuta kuharibu nchi yake nzuri ambayo inakuja katika suala zima la maendeleo.
Kula chuma hichoo
 

Attachments

  • Screenshot_20240414_104153_X.jpg
    Screenshot_20240414_104153_X.jpg
    39.8 KB · Views: 1
Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
BREAKING

Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
Yaani yaani makombora yamepigwa chini mengine hata hayajafika israel na bado israel kayapiga chini yaliyofika unakuja kinafiki kumpaisha huyu superpower wa mikwara mbuzi iran aliyepigwa kofi la uso
 
Nyie mechanganyikiwa, huyo Iran wenu, kweli unaamini anaweza kuhimili vita dhidi ya Israel, Jordani, USA? Anatafuta kuharibu nchi yake nzuri ambayo inakuja katika suala zima la maendeleo.
Kwanini maswali kama haya hujiulizi na upande wa pili??

Kama Israel ana marafiki,je Iran hawezi kua na marafiki??
 
Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
BREAKING

Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
Ila Jordan ni wanafiki balaa yule mfalme juzi alikuwa anarusha msaada ghaza leo hii anamsidia mwisreli

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Nyie mechanganyikiwa, huyo Iran wenu, kweli unaamini anaweza kuhimili vita dhidi ya Israel, Jordani, USA? Anatafuta kuharibu nchi yake nzuri ambayo inakuja katika suala zima la maendeleo.
mlisema iran hawezi kujibu,kajibu mnauliza atahimili...sisi tunajua Israel atapigwa vibaya na Iran kama mandonga ila sasa mkiungana kama hivyo ndo kidoooogo,mnaweza kupata sare
 
Nyie mechanganyikiwa, huyo Iran wenu, kweli unaamini anaweza kuhimili vita dhidi ya Israel, Jordani, USA? Anatafuta kuharibu nchi yake nzuri ambayo inakuja katika suala zima la maendeleo.
Kwa nini mumtaje US .

US ameshakuwa wazi hatopigana ugomvi unaoanzishwa na Israel, atamsaidia tu fedha na vifaa.

Kila mnapoongelea Israel vs Iran basi mnamtaja US.

LEO HII KILE KICHAKA CHA IDF KUWA JESHI BORA MIDDLE EAST KIMEFYEKWA.
 
Kwa nini mumtaje US .

US ameshakuwa wazi hatopigana ugomvi unaoanzishwa na Israel, atamsaidia tu fedha na vifaa.

Kila mnapoongelea Israel vs Iran basi mnamtaja US.

LEO HII KILE KICHAKA CHA IDF KUWA JESHI BORA MIDDLE EAST KIMEFYEKWA.
Naanza kukubaliana na aliesena +255 ni namba 6. Nyuma ya
Russia
Amerika
China
North Korea & Iran
France & India
+255 Kazi iendelee
Brazil & UK
Egypt & Turkey
 
Kutungua 99.9%,hakika jeshi la Israel ndio jeshi bora kabisa duniani
Ndoto ya Iran ilikuwa kama hii picha walioitengeneza- walijua kuwa Israel kwa kuwapelekea drone 300+ na Makombora kama hili lililondondoka red sea . Jana Israel ingekuwa majivu🤣🤣. Iran jana peke yake wametumia silaha zenye thamani ya zaidi ya dola 2 Billions na ajafanikiwa.Mbwembwe zote za Iran drone zao total zimebeba tani 60 tu za Mabomu to Israel
 

Attachments

  • IMG_7633.jpeg
    IMG_7633.jpeg
    196.8 KB · Views: 1
  • IMG_7656.jpeg
    IMG_7656.jpeg
    306 KB · Views: 1
Kumbe mfalme Abdullah ll ni mtu wa maana kabisa? Tutamlinda kwa jasho na damu mzalendo huyu anasimamia ukweli kulilinda Taifa teule.Nadhani na Saudia kule tunakokwendaga kulizunguka jiwe jeupe naye yupo bega kwa bega kuwasaidia watoto wa mama mkubwa ( Sarat) kweli damu mzito kuliko maji. Sasa wewe mbongo Wala historia hujui unaanza vipi kulipanga Taifa la Mungu?
 
Iran amerusha makombola na drones mamia asilimia 99 yamepigwa chini usipotoshe watu humu kwamba Israel imepigwa na Israel imetoa green light kwa jeshi lake kujibu subilieni tu namm nasemaje kwa Israel ilivyoweza jilinda kwa hayo mashambulizi je Iran ataweza akipigwa counter attacks 😂😂😂
Wacha kujitekenya Israel hawezi rudisha anajua akirudisha ndio mwisho wake.

Eti 99% ikiwa Hamasi anapenya asipenye Iran, kweli mtu aliye lewa gongo ni tabu kufahamu dunia hi hakuna nchi itakuambia yeye kapigwa na adui lazima ajisifu kamshinda adui 😄

Kinchi chenyewe kimepora ardhi ya Palestine lazima kilindwe mpaa kufa na hao walio kipanda hapo Middle East.
 
Kumbe mfalme Abdullah ll ni mtu wa maana kabisa? Tutamlinda kwa jasho na damu mzalendo huyu anasimamia ukweli kulilinda Taifa teule.Nadhani na Saudia kule tunakokwendaga kulizunguka jiwe jeupe naye yupo bega kwa bega kuwasaidia watoto wa mama mkubwa ( Sarat) kweli damu mzito kuliko maji. Sasa wewe mbongo Wala historia hujui unaanza vipi kulipanga Taifa la Mungu?
Kweli huyu nimeamini ndie mlinzi wa mstari wa mbele wa taifa teule la Muingereza na America hata Paulo alikufa kabla ya kuwepo taifa lilopandikizwa na Muingereza, Paulo alimkusudia Yakobo ndio Israel c nchi.

Kweli wengine tukiwambia Jordan, Egypt, Saud Arabia, UAE na Morocco ni warabu lakini wanawapenda cousin zao kuliko warabu wenzao 😄

Yani wanakubali wa Palestine wafe ili abaki Zionist
 
Back
Top Bottom