choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,668
- 3,013
- Thread starter
- #141
Viboko ni hatari ki afya na kisaikolojia, vinajenga kumbukumbu mbaya isiyofutikaWao bado wanakumbuka viboko vya mkoloni hawajui kuwa kupiga ilikuwa ni chuki na ubaguzi wakati ule
Hawajiulizi kwanini hawapigi watoto wao shuleni ila mtumwa alikula mpaka panga na shaba?
Ni wapumbavu sana na kama serikali itapigiwa kelele hakika wataondoa huu ujinga
Mtoto ana uwezo mkubwa ila akili ina Ganda kwa kimuogopa mwalimu
Yaani mwalimu anakuwa na uadui na mtoto kama katembea na mke wake shenzi kabisa