Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,116
- 9,561
Hawawezi jiongoza, Kwamba Ukiingia darasani achana na Simu sikiliza lecture kama huwezi toka nje hii haihitaji kuelekezwa.Ni kwamba hawawezi jiongoza au hawajaelekezwa?
Ukiwa kazini Basi fanya kazi sio usubiri due date uanze kuomba msaada au kutoa kazi mbovu.
Huko ni kushindwa kujiongoza, sio kutokuelekezwa.