2024 usimfanyie mwanamke financial favour yoyote

Wanaume mara zote tunashauriwa kuoa au kuingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotupenda, shida inakuja mwanamke anakupenda ila kwa kuwa hana sura nzuri ya kuvutia au hajajaliwa tako basi tunaamua kuwatolea nje, matokeo yake tunaishia kuwapenda wanawake tunaowapenda lakini wao hawatupendi.

Ndio hao kila kukicha wanatupiga mizinga na vituko havikomi maana wanajua tumeshapenda hatuna cha kufanya zaidi ya kutimiza yale wanayoyataka wao.

Mwanamke anayekupenda kwa dhati hata mia yako hatahangaika nayo labda wewe kama mwanaume uwajibike kama mwanaume lakini hawezi kukupiga mizinga isiyoeleweka , mwanamke asiyekupenda hawezi kuacha kukupiga mzinga na utakuta mwanamke huyohuyo anayekupiga mzinga ana mwanaume anayempenda na hamuombi hata mia.
Umeongea la maana sana ni kweli wanaume tunalinga sana tukipendwa na mademu wa kawaida
 
Aisee! Vipi Kwa sisi tuliobahatika kupata wanawake wanaotupenda na kutujali mkuu? Pesa wanatupa , hawatupigi mizinga, anachokipata yeye ni chetu sote na tunachopata wanaume ni cha wote pia?


Mimi ninachotaka kueleza wanaume wenzangu ni kwamba wanawake wazuri kwa maana ya kujali bado wapo na tunaishi nao mitaani

That's right mkuu. Wapo.

-Kaveli-
 
Wanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.

Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.

2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"

Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.

Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Nime screenshot kwa matumizi ya badae
Screenshot_20231221-171229.png
 
Kuna baadhi ya Wanawake hawana aibu kabisa, kuna mmoja ni mshangazi classmate wa sister nilikutana nae mjini tukabadilishana namba akaanza kunisifia nimekuwa mbaba mara kunitafuta mara kwa mara nikabaki kushangaa huyu vipi, haikupita wiki ananiletea shida zake ana anaomba 1m, nilicheka na nilivyomjibu sina mpaka leo hii hajanicheki tena.

Yani hapo alikua anakuwekea mazingira akuingize kingi akakumue wallet naona anko ukala ganzi full nati na spanner umepoteza HaHaHaHa
 
Wanaume walio wengi wanaingia gharama kuwafanyia wema wanawake kwa kuongozwa na huruma ya kuwaona wanawake ni innocent and honest creatures au kujitengenezea mazingira ya kupewa mbususu.

Sikilizeni vijana, wanawake wa sasa almost wote ni mataperi, shida wanazoombea msaada wa kifedha ni uongo. Ukiombwa hela kwa ajiri ya luku, kwenda hospitali, n.k jua ni uongo na iyo text ya kuombwa hela hautumiwi peke yako, text iyo iyo moja mnatumiwa sio chini ya wanaume 20 na wanaume watakaofanya muhamala basi wanawake wanaona mafala na kuwadhiaki sana uko kwenye story zao saluni na magetoni kwao.

2024 ukimtongoza demu akichomoa move on, don't keep friendly zone she will use you as a leverage for her financial needs. Kijana mwenzangu, 2024 date na mwanamke mwenye kazi halali inayomuingizia kipato ila hawa wanaamini kutoa mbususu pekee ndio uhalali wa kukubebesha shida zake piga hit and run. 2024 say no to "relationship kausha damu"

Washkaji zako wa kiume wakikwama hata kwa mambo yasiyo na lazima kama mfuko upo vizuri walinde maana na wewe siku ukikwama watukulinda ila wanawake hapana maana wanawake hawana msaada wowote mwanaume ukifulia.

Najua kuna wadangaji, washamba wa mapenzi na waliolishwa limbwata watakuja kutapika hapa, wapuuzeni hao. Kijana mwenzangu 2024 binti wa mtu akikuletea pigo za kausha damu piga mimba ingia mitini.
Umeongea kwa uchungu Sana kama hizo Pesa huwa unatoa wewe

Inakuuma nin?

Kila shetani na mbuya wake

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kama wadada ni wabahili hivyo mbona asilimia kubwa ya biashara kubwa na za kati na utajiri, vinamilikiwa na sisi wanaume, labda in future uchumi wa dunia utashikiliwa na wanawake

Ulichoongea hata Mimi kinanishangaza, utakuta unafanya kazi na mdada ofisi Moja, mshahara Mmoja, hujawahi muonesha hata ishara ya kumtongoza, hamfahamiani vizuri, anakupiga kizinga, unajiuliza za kwake anazipelekaga wapi 100 others
Kaka wanawake ndivyo walivyo, na hata ukimpa hizo pesa akija mwenye nyingi zaidi anahamia huko na kukuacha, akija high value male anakucha wewe, wangapi tumesikia wamesomesha wachumba wakaachwa kwenye mataa.

Kuhusu ubahili ni kweli, pesa zao zina macho sana, huwa wanaamini pesa ya mwanaume ndio ya kutumbuliwa ya kwao si ya kuliwa, hata awe anakuzidi mshahara.
 
Kweli mkuu, naelewa sana hali halisi kwani mimi mpaka kufikia hatua ya kutulia na huyu basi cha moto nilikiona, na ukishapata mwanamke anayekupenda na haombi hela then ukakutana tena na mwanamke anayeomba pesa sijui unamuonaje, 😀.

Hata nguvu za kuchepuka sasa sina tena kama nilivyokuwa awali. Hapa ninavyozungumza tiyari kashaniambia Jmosi hii tarehe 23 Dec kuna zawadi ya Christmass nikapokee kwenye basi la Kilimanjaro. Mkesha wa Christmass kasema hataki nitoke niende popote, pesa ya wine atatuma nitulie home tu.

Nitake nini tena mimi jamani.🤲

NB: Mimi siyo Marioo , nina kipato changu na huwa tunasaidiana pia. Love is a two way traffic. YAANI nipe nikupe!
Matapeli wataungana na kusema hii ni chai.
 
Dada yangu umeongea vema, ila ngoja nikupe mtizamo wangu na wanaume wengi.

Hao wadada wanaokataa kuja gheto, wengi hawaji kwasababu wanakuwa hawajavutiwa kimapenzi na mimi, na sio kwasababu wananiona mimi ni pussy hunter wa kuwachezea na kuwaacha. Hao wadada wengi unaosema ambao hawaji gheto kisa tumewaalika mapema, utakuta wanaenda gheto kwa wanaume wengine, just few days after meeting those men

Kuhusu kuhudumia hadi walegee, hivi nyie wadada mnajijua kweli, mara nyingi unaweza wekeza hivyo vyoteee, pesa, muda, hisia kwa mdada, hata kwa miaka 5,!! imagine!!! na usiambulie hata busu, wanaume wenzangu wasioweka effort nilioweka kwake, wanateleza nae tu kirahisi, na wana-treatiwa vizuri kuliko Mimi nliewekeza kwake, so ni swala la PATA potea

Mimi binafsi, Ninavyomwalika demu gheto ni mawili, its either mm ni pussy hunter kweli, nataka nipige nisepe, au napima interest yake kwangu, Depal
Mwanamke akikuelewa hasumbui kabisa na kama unajua kum tame kama yuko karibu within 3 days lazma uwe ushamgonga. Akiwa nje ya mkoa atakufata tu.

Anaondoa password zote yani, ukiona mwanamke ni mtu wa kukuzungusha ilihali ushaonesha interest kwake ujue tu ni kwamba hakupendi wala hana hisia na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom