IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,463
- 2,325
Mwaka 2021 nikiwa hapa home tz nilikua na pesa flani ambayo nilipanga niagize bidhaa Ali express nianze kuuza maana Nina uzoefu na kuagiza mizigo huko kutoka China through Ali express bahati mbaya ikaingia Corona ikavuruga mipango yote.
Nilishawai leta thread ya kutaka ushauri wa kununua bidhaa na kuja kuuza tz nafikiri hapa sasa najibu hua naulizwa kwenye Ile thread kama nilifanikiwa Ila Corona ilifanya yake nilishindwa.
Kwani ilikua ukiagiza kitu kina kaa muda mrefu Sana mpaka kuja bongo na mara nyingine visije kabisa so nikaona niache mpaka Mambo yakae Sawa Ila sasa pesa na shida avi msubiri mtu pesa ikaingia kwenye ishu zingne na ikaishia mbali.
Turudi nyuma
Mshikaji wangu mmoja mchizi wangu Sana rafiki wa damu mno mno Sana tume skuli wote kidato mpaka four tume maliza wote bweni moja kitanda kimoja na matukio mengi ya shule tumehusika pamoja wizi ule wa shule mitaani kwa Wana kijiji miogo, mahindi, kuku utoro some day ndio ilikua ivyo miaka 10+ imepita tukiwa secondary.
Kanisaidia vingi pia sivungi kwani kule shule kipesa alikua ananizid bi mkubwa wangu akua na uwezo wa kunipa pesa nyingi skul alinipa walau kwa uwezo mshikaji akunitenga pesa ikiisha basi tuna Ganga wote simtaji Mzee Sana Mzee wangu R.I.P FATHER alitutoka two thousand and four nikiwa mdogo primary.
Kwa class upande wa academic nilimzidi kidogo ukweli na tukiwa kwa paper au exercise za kawaida basi nilikua nikimpa tafu kwa uwezo wangu Ila walikua vipanga wenyewe siwagusi hata robo.
Mwaka 2015 niliingia Mozambique chimbo flani jina kapuni jamaa yangu uyu alikua uko na alienda baada ya ndugu yake kufariki ivyo aliacha aset kule na ishu zingine, so yeye na wa dogo zake wakaenda uko kuendeleza biashara wao waliingia 2011.
yeye ndio aliniunganisha na jamaa mmoja nikafanye kazi ya mpesa na kipindi icho life kitaa limenipiga mno.
Ikawa poa uyo Nika go uko Mozambique kwa usafiri wa pikipiki kwa mara ya Kwanza naingia kule tulipita mto ruvuma mitomoni pale unavuka na mtumbwi then unaendelea na safari unafika getin unakuatana na Askari wa MSUMBIJI na ishu kama izo.
Nimeingia kule nasikia mashine zinapiga kelele Sana kumbe ndio zinasaga mawe kwajili ya kufanya process za kupata dhahabu vijumba vya turubai vipo kwenye milima sehemu zingne baa wadada wapo kihasara mbaya wapo kutafuta lipa pesa upige mzigo akuna mtongozo pesa ndio yenyewe.
Nakumbuka wakati naenda kwa yule bosi nilisikia mlio wa buuuuuuuuu nikaisi zile pigo za kusema msumbji hatari ndio hizi risasi zimeanza nini lakini wenyeji wako Safi tu hawana wasi wasi baadae nilikuja kujua kumbe ni baruti za kulipulia miamba uko migodini ndio walikua wanalipua.
Note
Kule umalaya wa dada wanalipia means kama ufanyi umalaya utajua wewe Ila awajasema wazi wazi iyo ni kila mwezi elf 5 na wanaume elf 10 na ni lazima japo wenyewe wanasema CHANJO ukiwa mgeni utafikiri labda chanjo hii tunayoijua huku tz sio iyo.
Wanaume unalipia ef kumi sababu ya kuchimba madini na mademu wanalipa kwa kuuza uchi Ila haijasemwa wazi so kule mademu wanauza Sana uchi ndio mana machimbo swala la Ngoma ni kawaida na ukija ukiwa mgeni wa wanawake aisee utaishia kufa Ka ngiri kama utumii kinga.
Ndio maana huku mitaani Tanzania wakisikia demu katoka chimbo vijana wanakaa far sababu inajulikana {70%} mademu kule ni kuuza uchi full kulombesha ndio maana huogopeka tofauti na wanaume sioni wakiogopeka.
Mademu wanakuja kule kufanya kazi hizi za bar na migahawani lakini wote mwisho wa siku wanaingia kwenye mkumbo wa kuuza uchi hawa wa bar ndio kuzidi demu akija anaweza akawa na misimamo yake Sana sio wote wengine wanabaki ivyo ivyo au wanakua tu na mtu mmoja basi lakini wengine muda tu anabadilika na kuanza kutumia fursa ya biashara isio filisika na hua wanapiga pesa ki ukweli zile shaha shaha au fasta fasta ndio usiseme una mchukua demu unazunguka nae tu nyuma kwenye maficho anainama unapiga kimoko cha fasta unampa pesa anarudi kuhudumia wateja baani.
Wa migahawani sasa anakuletea msosi geto huko huko unapiga testes (p....u) anachukua chake yani ni shida na full uchafu alafu anarudi kuhudumia mgahawani aise japo hii tabia waliikataza ikigundulika unalimwa faini.
Sababu inayosababisha mpaka kuingia kwenye kuuza miili Kwanza mshahara mdogo na kule wanakaa ki mkataba miezi mitatu mshahara elfu 40 mpaka 50 kila mwezi Kwa lile chimbo nililokuepo Mimi sijui machimbo mengine.
So ni pesa ndogo alafu wanakopa nguo Kali bei juu wanalipaje lazima waingie uko au wapate mtu anae toa pesa Sana ivyo akimaliza mkataba kama Hana madeni anakua na laki na 50 au laki na 20 anarudi vipi na iyo anajiongeza kucheza labda upatu na hii nayo risk mtu anaweza kupokea pesa alafu siku ya pili asubuhi au usiku anatoroka ivyo kimtindo anaweza Rudi na 500k au zaidi lakini mbususu imechakazwa Sana yaani mbaya.
Hii ishu Usipo lipa ukibambwa bakora zake sio za humu sio zile za shule ni kirungu kinapigwa matakoni kwa ukali Sana tena sometimes wanatandika mapajani japo Mimi sijawai kutana na dhoruba iyo zaidi ya kuona Tu.
Well Day 2 nikapelekwa kijiweni baada ya kuelewana na yule bosi ni Ka kibanda tu kapo juu karibu na mlima sababu ya kukajenga hapo pale panashika network ya mtandao flani maarufu Sana kijijini uku tz so kule ule mtandao unakamata sababu ni mpakani mwa tz na Mozambique japo tz ipo mbali Sana lakini network inakamata ili upige simu lazima upande mlima japo kwa sasa aiko ivyo huu mtandao nguvu imeongezeka
Nikaanza pale kazi ya kuuza vocha, vocha ya jero kule buku na ya buku kule ni buku jero ina maana ukinunua za elfu 50 tegemea 50 faida yani nusu kwa nusu kipindi icho watu walikua wengi na muda nimefika Mimi naambiwa watu wamepungua Hali ngumu lakini kwa siku kuuza vocha za lakimbili mpaka 3 kawaida ushakunja faida nyingi Sana.
Bosi wangu alikua mnyachu wa mbeya mtaji wenyewe ulikua wa kuunga Tukaenda ivyo ivyo baadae aka sarenda akaacha Ile biashara Mimi nilikua na pesa yangu nikawa naagiza vocha hii pesa nilikua napata vipi yule jamaa yangu katika zile asset alizo achiwa na uyo ndugu Yao aliefarik akafungua na mgahawa so akaniambia kuhusu chakula, asubuh chai kwake mchana kwake na jioni pale pale mgahawani.
Pale kibandani kwa boss wangu kwa siku nilikua nachukua elf 5 ya kula kabla ajaacha so akasema iyo pesa itakua yangu tunza na mwisho wa mwezi pia nilikua napokea mshahara Ila ndio ivyo bosi aliishia njiani akaacha Ile biashara.
Hii pesa nilikua natuma pia home na maisha yakawa yanaenda na hata jamaa yangu akikwama kidogo alikua anakuja ananiazima kuongezea kwenye mishe zake kama tu upande wake mipango ya pesa aijakaa Sawa au bado kufunga hesabu anaazima jioni ananirudishia.
Nikawa nauza vocha naagiza zinakuja nauza yule jamaa yangu akaamua kutia mzigo milioni kazaa kwenye mpesa na mpesa ikarudi kundini nieleze kitu kule voda ilikua inashika kupitia mitandao ya kule wanasema (roaming) sijui) yani voda ili jina linatoka linakaa jina la mtandao wa kule.
Hiyo mitandao ni mcel na mwingne umenitoka Ila kwa sasa kuna movitel ina nguvu Sana na internet tukiwa kule tunatumia Sana kupitia hii movitel.
Hii voda miamala unafanya lakini huwezi piga au kupigiwa na sio laini za tini ni namba ya kawaida kuna kipindi nilifanya mihamala mpaka ikafika kiwango changu cha mwisho nikasafiri mpaka songea kwenda kuongeza kiwango cha kutuma pesa alafu ukituma elfu 10 ada 1000 inamaana laki ada elfu 10.
Nakumbuka kipindi hicho nipo songea nilipoenda kuongeza kiwango cha laini yangu cha kutuma pesa kuna jamaa akawa ananipigia simu nikiwa songea naendelea kufanya mihamala yani pesa anapokea yeye kule msumbiji anapeleka kwa mshakji alafu mihamala nafanya Mimi ananitumia text ya namba na jina natuma pesa.
Huku songea nilikua na begi la mgongoni ambalo ndani kulikua na pesa miloni 9+ nakumbuka
ki hualisia nilikua bado mdogo nilikua na akili za kitoto toto na nilikua na ona ka ufahari flani ivi kutembea nazo pesa vile nikiishiwa pesa kwenye simu naenda Tu kwa wakala naweka kiasi.
Siku moja nilienda kwa wakala mdada ile nimevua begi nimefungua ndani yule mdada akaona maburungutu ya pesa alinishangaa mbaya nakumbuka Alisema we mtoto je macho yote kwenye pesa alafu anashika begi anachungulia mi nikatoa milioni 3 nikampa aniwekee lakini ananishangaa nilivyo mimi na zile pesa siendani.
Siku chache nikarudi tena Mozambique kuendelea na kibarua changu pale kibandani kama kawaida pale kama ni vishawishi vilikuepo Sana lakini kwa muda huo sikuwai lala na demu yeyote hasa zile habari mbaya za machimbo nilikua na gwaya magonjwa.
Basi nikaendelea na Ile kazi mpaka muda flani nikarudi hom tz nikanunua kitanda, godoro na vitu vingine vya home Ila sikua na mpango wa kwenda tena kule na kipindi hicho nilikua na milioni 1+ nikawaza nipige business Ila bado nilikua sijapata abc sikua na akili za kibiahsara naanzia wapi???
Mbeya nilisikia kule vitu bei poa nikapanda chuma mpaka green city.
Nakumbuka kabla ya kwenda nilipita kwa sangoma anipe dawa ya biashara na alinipa na kusema inabidii nichanganye na maji niogee nikioga leo saa moja kesho sa 2 kesho kutwa sa 3 nikifika nisilaze.
Nilifika gest flani ivi pale mbeya maeneo ya mwanjelwa mitaani uku kinaitwa JOMERA sijui kama ipo mpaka sasa iyo gest sasa kuoga Ile dawa nilioga kwa mbinde sababu ya baridi kama sio dawa nisingeoga ng'o. Nilifanya nipate maji ya moto wahudumu wakanizingua.
Nilikaa mbeya siku tatu nakumbuka siku ya Kwanza asubuhi yake iyo nilijiimia sido mnadani pale mlangoni palikua na kitambaa cheupe kimeandikwa sikumbuki vizuri mwizi tunaua alafu kuna picha ya kuchora rungu na jama ana damu damu kikatuni.
Pale nilichukua t-shirt kazaa na kurudi mpaka gest nikaziweka na kuanza kutembea kushangaa mji.
Usiku mida ya saa tatu niludi nikapotea zunguka fata ramani wapi zunguka Sana Ile gesti siioni mhm nikasimama barabarani kusimamisha boda jina la gest nikasahau boda namwambia naenda romeja gest kumbe ni JOMERA nae romeja ajui nabaki kuduaa boda mmoja nakumbuka alisema romeja au JOMERA hapo alinitoa usingizin nikamwambia JOMERA akanipeleka aliniambia Una bahati hapa mitaa ya Soweto usiku kuna vibaka sana.
Alinikumbusha muda fulani nikiwa hapo Soweto sijui kuna jamaa alikua anapita nikamuomba nimuulize Ile gest ilipo jamaa alinijibu achana na Mimi bwana alafu akatimua mbio.
Baada ya siku tatu Nilirudi hom kutoka Mbeya na siku ya pili asubuhi nilikwenda na nguo zangu mnadani kuuza dooo mnadani paache Tu Pana hitaji uzoefu niliuza lakini bei ya hasara sababu nilikua narusha ivyo mawinga wanavizia so bei ilikua tofaut na nilionunua kule mbeya nikamaliza nikaamia kwenye viatu nachukua bero nakuuza bado mziki ni ule ule pesa airudi hasara dawa ya sangoma Amna kitu uongo.
Ikawa ivyo nikaacha na pesa ikaingia matumizi ya hom pia kipindi icho sikua mtu wa mademu pesa iliisha kwa Mambo muhimu lakini biashara ilinishinda japo nilipata abc nikaanza life la kuunga unga toka niende 2015 mpaka naondoka MSUMBIJI ilikua 2017 kuja tz na mpaka pesa iliponiishia.
Nikaanza life la kuunga unga jamaaa yangu kama kawa tukawa tunakutana ananiachia chenji kidogo yeye alikua anenda Dar kufunga mizigo anapeleka msumbij ikawa ivyo hapa Kati nilipita kwenye msoto Sana ikiwemo kuosha magari na kufanya vibarua vya saidia fundi mradi kupata pesa ya kukimbiza siku.
Baadae jamaa yangu wakati yupo MSUMBIJI akaanza kujishughulisha na biashara ya kununua dhahabu alikua ananipa taarifa na alikua akipata Sana faida sometimes mzigo wa dhahabu wa milioni 20 ambao ni gramu 200 unakuta anakunja faida milion 2 mpaka 2.5 au 3 soko likiwa poa na dhahabu ikiwa na quality nzuri au asilimia nzuri.
Dhahabu bei ilikua laki gram moja
alafu na point moja elfu 10 kwa ambao wamepita machimbo nafikiri wanaelewa hii ishu. Kuna muda soko aliendi vizuri ivyo faida pia inakua ndogo hasa bei ikishuka sokoni pia lazima uwe makini kuna dhahabu feki wanaita (kakumba), kingine lazima uzingatie uchomaji kuna zile dhahabu ambazo wanakamatisha na mercury sio pure maana kuna pure na ambazo sio pure so lazima uchome Moto wa maana sababu sokoni nako wanarudia kuchoma na gas uzito unapungua usipochoma vizuri na unapata hasara tuiache Kwanza hii.
Basi muda ukaenda kuna siku mshikaji baada ya kutoka sokoni Dar kuuza dhahabu alinipitia Tukaenda funga mzigo wa dukani kwake hapa nikamwambia mwana maisha ayasomeki kitaa kama vipi nizame kundini Mozambique tukapige Ile ishu ya mpesa kama kuomba pesa kwako ntaomba mpaka lini?
Jamaa akaniambia vipi bi mkubwa atakubali nikamtell awezi pinga si naenda kutafuta uko, kwann rafiki yangu aliulizia ivi kwa sababu kipindi kile nilipo Rudi tz na baadae kugairi kurudi kule Mozambique, nilimdanganya mshikaji bi mkubwa kasema nibaki Tu hapa hapa ndio maana aliulizia hili swali akasema poa jiweke fresh tusepe nikamwambia Aina noma.
Nikamwambia mother akanipa go ahead na baraka Tele kwa mwanae wa pili nikapambane kwa mara nyingine tena kweli siku ilifika tarehe sikumbuki ni mwezi wa sita mwaka 2021 tulipanda bus ambazo zinaishia boda atukupanda pikipki Ila pikipki tulipanda hapo baada ya kuvuka mto ruvuma na kurejea Mozambique na hapa ndio Ile
Title head line hapo juu inakuja.
Iyo hapo chini ni laini ya Movitel ya nchini msumbiji.
Wakuu Nitarudi chaooooo
NB
Sijawahi kuacha thread njiani Ila ni kesho tena usiku ikiwa kabla ya hapo itakua poa.
Nilishawai leta thread ya kutaka ushauri wa kununua bidhaa na kuja kuuza tz nafikiri hapa sasa najibu hua naulizwa kwenye Ile thread kama nilifanikiwa Ila Corona ilifanya yake nilishindwa.
Kwani ilikua ukiagiza kitu kina kaa muda mrefu Sana mpaka kuja bongo na mara nyingine visije kabisa so nikaona niache mpaka Mambo yakae Sawa Ila sasa pesa na shida avi msubiri mtu pesa ikaingia kwenye ishu zingne na ikaishia mbali.
Turudi nyuma
Mshikaji wangu mmoja mchizi wangu Sana rafiki wa damu mno mno Sana tume skuli wote kidato mpaka four tume maliza wote bweni moja kitanda kimoja na matukio mengi ya shule tumehusika pamoja wizi ule wa shule mitaani kwa Wana kijiji miogo, mahindi, kuku utoro some day ndio ilikua ivyo miaka 10+ imepita tukiwa secondary.
Kanisaidia vingi pia sivungi kwani kule shule kipesa alikua ananizid bi mkubwa wangu akua na uwezo wa kunipa pesa nyingi skul alinipa walau kwa uwezo mshikaji akunitenga pesa ikiisha basi tuna Ganga wote simtaji Mzee Sana Mzee wangu R.I.P FATHER alitutoka two thousand and four nikiwa mdogo primary.
Kwa class upande wa academic nilimzidi kidogo ukweli na tukiwa kwa paper au exercise za kawaida basi nilikua nikimpa tafu kwa uwezo wangu Ila walikua vipanga wenyewe siwagusi hata robo.
Mwaka 2015 niliingia Mozambique chimbo flani jina kapuni jamaa yangu uyu alikua uko na alienda baada ya ndugu yake kufariki ivyo aliacha aset kule na ishu zingine, so yeye na wa dogo zake wakaenda uko kuendeleza biashara wao waliingia 2011.
yeye ndio aliniunganisha na jamaa mmoja nikafanye kazi ya mpesa na kipindi icho life kitaa limenipiga mno.
Ikawa poa uyo Nika go uko Mozambique kwa usafiri wa pikipiki kwa mara ya Kwanza naingia kule tulipita mto ruvuma mitomoni pale unavuka na mtumbwi then unaendelea na safari unafika getin unakuatana na Askari wa MSUMBIJI na ishu kama izo.
Nimeingia kule nasikia mashine zinapiga kelele Sana kumbe ndio zinasaga mawe kwajili ya kufanya process za kupata dhahabu vijumba vya turubai vipo kwenye milima sehemu zingne baa wadada wapo kihasara mbaya wapo kutafuta lipa pesa upige mzigo akuna mtongozo pesa ndio yenyewe.
Nakumbuka wakati naenda kwa yule bosi nilisikia mlio wa buuuuuuuuu nikaisi zile pigo za kusema msumbji hatari ndio hizi risasi zimeanza nini lakini wenyeji wako Safi tu hawana wasi wasi baadae nilikuja kujua kumbe ni baruti za kulipulia miamba uko migodini ndio walikua wanalipua.
Note
Kule umalaya wa dada wanalipia means kama ufanyi umalaya utajua wewe Ila awajasema wazi wazi iyo ni kila mwezi elf 5 na wanaume elf 10 na ni lazima japo wenyewe wanasema CHANJO ukiwa mgeni utafikiri labda chanjo hii tunayoijua huku tz sio iyo.
Wanaume unalipia ef kumi sababu ya kuchimba madini na mademu wanalipa kwa kuuza uchi Ila haijasemwa wazi so kule mademu wanauza Sana uchi ndio mana machimbo swala la Ngoma ni kawaida na ukija ukiwa mgeni wa wanawake aisee utaishia kufa Ka ngiri kama utumii kinga.
Ndio maana huku mitaani Tanzania wakisikia demu katoka chimbo vijana wanakaa far sababu inajulikana {70%} mademu kule ni kuuza uchi full kulombesha ndio maana huogopeka tofauti na wanaume sioni wakiogopeka.
Mademu wanakuja kule kufanya kazi hizi za bar na migahawani lakini wote mwisho wa siku wanaingia kwenye mkumbo wa kuuza uchi hawa wa bar ndio kuzidi demu akija anaweza akawa na misimamo yake Sana sio wote wengine wanabaki ivyo ivyo au wanakua tu na mtu mmoja basi lakini wengine muda tu anabadilika na kuanza kutumia fursa ya biashara isio filisika na hua wanapiga pesa ki ukweli zile shaha shaha au fasta fasta ndio usiseme una mchukua demu unazunguka nae tu nyuma kwenye maficho anainama unapiga kimoko cha fasta unampa pesa anarudi kuhudumia wateja baani.
Wa migahawani sasa anakuletea msosi geto huko huko unapiga testes (p....u) anachukua chake yani ni shida na full uchafu alafu anarudi kuhudumia mgahawani aise japo hii tabia waliikataza ikigundulika unalimwa faini.
Sababu inayosababisha mpaka kuingia kwenye kuuza miili Kwanza mshahara mdogo na kule wanakaa ki mkataba miezi mitatu mshahara elfu 40 mpaka 50 kila mwezi Kwa lile chimbo nililokuepo Mimi sijui machimbo mengine.
So ni pesa ndogo alafu wanakopa nguo Kali bei juu wanalipaje lazima waingie uko au wapate mtu anae toa pesa Sana ivyo akimaliza mkataba kama Hana madeni anakua na laki na 50 au laki na 20 anarudi vipi na iyo anajiongeza kucheza labda upatu na hii nayo risk mtu anaweza kupokea pesa alafu siku ya pili asubuhi au usiku anatoroka ivyo kimtindo anaweza Rudi na 500k au zaidi lakini mbususu imechakazwa Sana yaani mbaya.
Hii ishu Usipo lipa ukibambwa bakora zake sio za humu sio zile za shule ni kirungu kinapigwa matakoni kwa ukali Sana tena sometimes wanatandika mapajani japo Mimi sijawai kutana na dhoruba iyo zaidi ya kuona Tu.
Well Day 2 nikapelekwa kijiweni baada ya kuelewana na yule bosi ni Ka kibanda tu kapo juu karibu na mlima sababu ya kukajenga hapo pale panashika network ya mtandao flani maarufu Sana kijijini uku tz so kule ule mtandao unakamata sababu ni mpakani mwa tz na Mozambique japo tz ipo mbali Sana lakini network inakamata ili upige simu lazima upande mlima japo kwa sasa aiko ivyo huu mtandao nguvu imeongezeka
Nikaanza pale kazi ya kuuza vocha, vocha ya jero kule buku na ya buku kule ni buku jero ina maana ukinunua za elfu 50 tegemea 50 faida yani nusu kwa nusu kipindi icho watu walikua wengi na muda nimefika Mimi naambiwa watu wamepungua Hali ngumu lakini kwa siku kuuza vocha za lakimbili mpaka 3 kawaida ushakunja faida nyingi Sana.
Bosi wangu alikua mnyachu wa mbeya mtaji wenyewe ulikua wa kuunga Tukaenda ivyo ivyo baadae aka sarenda akaacha Ile biashara Mimi nilikua na pesa yangu nikawa naagiza vocha hii pesa nilikua napata vipi yule jamaa yangu katika zile asset alizo achiwa na uyo ndugu Yao aliefarik akafungua na mgahawa so akaniambia kuhusu chakula, asubuh chai kwake mchana kwake na jioni pale pale mgahawani.
Pale kibandani kwa boss wangu kwa siku nilikua nachukua elf 5 ya kula kabla ajaacha so akasema iyo pesa itakua yangu tunza na mwisho wa mwezi pia nilikua napokea mshahara Ila ndio ivyo bosi aliishia njiani akaacha Ile biashara.
Hii pesa nilikua natuma pia home na maisha yakawa yanaenda na hata jamaa yangu akikwama kidogo alikua anakuja ananiazima kuongezea kwenye mishe zake kama tu upande wake mipango ya pesa aijakaa Sawa au bado kufunga hesabu anaazima jioni ananirudishia.
Nikawa nauza vocha naagiza zinakuja nauza yule jamaa yangu akaamua kutia mzigo milioni kazaa kwenye mpesa na mpesa ikarudi kundini nieleze kitu kule voda ilikua inashika kupitia mitandao ya kule wanasema (roaming) sijui) yani voda ili jina linatoka linakaa jina la mtandao wa kule.
Hiyo mitandao ni mcel na mwingne umenitoka Ila kwa sasa kuna movitel ina nguvu Sana na internet tukiwa kule tunatumia Sana kupitia hii movitel.
Hii voda miamala unafanya lakini huwezi piga au kupigiwa na sio laini za tini ni namba ya kawaida kuna kipindi nilifanya mihamala mpaka ikafika kiwango changu cha mwisho nikasafiri mpaka songea kwenda kuongeza kiwango cha kutuma pesa alafu ukituma elfu 10 ada 1000 inamaana laki ada elfu 10.
Nakumbuka kipindi hicho nipo songea nilipoenda kuongeza kiwango cha laini yangu cha kutuma pesa kuna jamaa akawa ananipigia simu nikiwa songea naendelea kufanya mihamala yani pesa anapokea yeye kule msumbiji anapeleka kwa mshakji alafu mihamala nafanya Mimi ananitumia text ya namba na jina natuma pesa.
Huku songea nilikua na begi la mgongoni ambalo ndani kulikua na pesa miloni 9+ nakumbuka
ki hualisia nilikua bado mdogo nilikua na akili za kitoto toto na nilikua na ona ka ufahari flani ivi kutembea nazo pesa vile nikiishiwa pesa kwenye simu naenda Tu kwa wakala naweka kiasi.
Siku moja nilienda kwa wakala mdada ile nimevua begi nimefungua ndani yule mdada akaona maburungutu ya pesa alinishangaa mbaya nakumbuka Alisema we mtoto je macho yote kwenye pesa alafu anashika begi anachungulia mi nikatoa milioni 3 nikampa aniwekee lakini ananishangaa nilivyo mimi na zile pesa siendani.
Siku chache nikarudi tena Mozambique kuendelea na kibarua changu pale kibandani kama kawaida pale kama ni vishawishi vilikuepo Sana lakini kwa muda huo sikuwai lala na demu yeyote hasa zile habari mbaya za machimbo nilikua na gwaya magonjwa.
Basi nikaendelea na Ile kazi mpaka muda flani nikarudi hom tz nikanunua kitanda, godoro na vitu vingine vya home Ila sikua na mpango wa kwenda tena kule na kipindi hicho nilikua na milioni 1+ nikawaza nipige business Ila bado nilikua sijapata abc sikua na akili za kibiahsara naanzia wapi???
Mbeya nilisikia kule vitu bei poa nikapanda chuma mpaka green city.
Nakumbuka kabla ya kwenda nilipita kwa sangoma anipe dawa ya biashara na alinipa na kusema inabidii nichanganye na maji niogee nikioga leo saa moja kesho sa 2 kesho kutwa sa 3 nikifika nisilaze.
Nilifika gest flani ivi pale mbeya maeneo ya mwanjelwa mitaani uku kinaitwa JOMERA sijui kama ipo mpaka sasa iyo gest sasa kuoga Ile dawa nilioga kwa mbinde sababu ya baridi kama sio dawa nisingeoga ng'o. Nilifanya nipate maji ya moto wahudumu wakanizingua.
Nilikaa mbeya siku tatu nakumbuka siku ya Kwanza asubuhi yake iyo nilijiimia sido mnadani pale mlangoni palikua na kitambaa cheupe kimeandikwa sikumbuki vizuri mwizi tunaua alafu kuna picha ya kuchora rungu na jama ana damu damu kikatuni.
Pale nilichukua t-shirt kazaa na kurudi mpaka gest nikaziweka na kuanza kutembea kushangaa mji.
Usiku mida ya saa tatu niludi nikapotea zunguka fata ramani wapi zunguka Sana Ile gesti siioni mhm nikasimama barabarani kusimamisha boda jina la gest nikasahau boda namwambia naenda romeja gest kumbe ni JOMERA nae romeja ajui nabaki kuduaa boda mmoja nakumbuka alisema romeja au JOMERA hapo alinitoa usingizin nikamwambia JOMERA akanipeleka aliniambia Una bahati hapa mitaa ya Soweto usiku kuna vibaka sana.
Alinikumbusha muda fulani nikiwa hapo Soweto sijui kuna jamaa alikua anapita nikamuomba nimuulize Ile gest ilipo jamaa alinijibu achana na Mimi bwana alafu akatimua mbio.
Baada ya siku tatu Nilirudi hom kutoka Mbeya na siku ya pili asubuhi nilikwenda na nguo zangu mnadani kuuza dooo mnadani paache Tu Pana hitaji uzoefu niliuza lakini bei ya hasara sababu nilikua narusha ivyo mawinga wanavizia so bei ilikua tofaut na nilionunua kule mbeya nikamaliza nikaamia kwenye viatu nachukua bero nakuuza bado mziki ni ule ule pesa airudi hasara dawa ya sangoma Amna kitu uongo.
Ikawa ivyo nikaacha na pesa ikaingia matumizi ya hom pia kipindi icho sikua mtu wa mademu pesa iliisha kwa Mambo muhimu lakini biashara ilinishinda japo nilipata abc nikaanza life la kuunga unga toka niende 2015 mpaka naondoka MSUMBIJI ilikua 2017 kuja tz na mpaka pesa iliponiishia.
Nikaanza life la kuunga unga jamaaa yangu kama kawa tukawa tunakutana ananiachia chenji kidogo yeye alikua anenda Dar kufunga mizigo anapeleka msumbij ikawa ivyo hapa Kati nilipita kwenye msoto Sana ikiwemo kuosha magari na kufanya vibarua vya saidia fundi mradi kupata pesa ya kukimbiza siku.
Baadae jamaa yangu wakati yupo MSUMBIJI akaanza kujishughulisha na biashara ya kununua dhahabu alikua ananipa taarifa na alikua akipata Sana faida sometimes mzigo wa dhahabu wa milioni 20 ambao ni gramu 200 unakuta anakunja faida milion 2 mpaka 2.5 au 3 soko likiwa poa na dhahabu ikiwa na quality nzuri au asilimia nzuri.
Dhahabu bei ilikua laki gram moja
alafu na point moja elfu 10 kwa ambao wamepita machimbo nafikiri wanaelewa hii ishu. Kuna muda soko aliendi vizuri ivyo faida pia inakua ndogo hasa bei ikishuka sokoni pia lazima uwe makini kuna dhahabu feki wanaita (kakumba), kingine lazima uzingatie uchomaji kuna zile dhahabu ambazo wanakamatisha na mercury sio pure maana kuna pure na ambazo sio pure so lazima uchome Moto wa maana sababu sokoni nako wanarudia kuchoma na gas uzito unapungua usipochoma vizuri na unapata hasara tuiache Kwanza hii.
Basi muda ukaenda kuna siku mshikaji baada ya kutoka sokoni Dar kuuza dhahabu alinipitia Tukaenda funga mzigo wa dukani kwake hapa nikamwambia mwana maisha ayasomeki kitaa kama vipi nizame kundini Mozambique tukapige Ile ishu ya mpesa kama kuomba pesa kwako ntaomba mpaka lini?
Jamaa akaniambia vipi bi mkubwa atakubali nikamtell awezi pinga si naenda kutafuta uko, kwann rafiki yangu aliulizia ivi kwa sababu kipindi kile nilipo Rudi tz na baadae kugairi kurudi kule Mozambique, nilimdanganya mshikaji bi mkubwa kasema nibaki Tu hapa hapa ndio maana aliulizia hili swali akasema poa jiweke fresh tusepe nikamwambia Aina noma.
Nikamwambia mother akanipa go ahead na baraka Tele kwa mwanae wa pili nikapambane kwa mara nyingine tena kweli siku ilifika tarehe sikumbuki ni mwezi wa sita mwaka 2021 tulipanda bus ambazo zinaishia boda atukupanda pikipki Ila pikipki tulipanda hapo baada ya kuvuka mto ruvuma na kurejea Mozambique na hapa ndio Ile
Title head line hapo juu inakuja.
Iyo hapo chini ni laini ya Movitel ya nchini msumbiji.
Wakuu Nitarudi chaooooo
NB
Sijawahi kuacha thread njiani Ila ni kesho tena usiku ikiwa kabla ya hapo itakua poa.