Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,926
- 21,807
Unawatukana watu kisa pesa zao wanazotafuta kwa Jasho lao?Nilichogundua huu uzi umejaa wanaume wanaonuka umaskini, Siku zote maskini wanakuaga very bitter, narcissistic, sadist wakizidisha wanakua wachawi mfyuuu. Umaskini mbaya sanaa.
Una shida mahala wewe