wazambia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wimbo

    Kilichowakuta Wazambia tusipoangalia kinaweza kutukuta na Watanzania

    Miradi mingi ya ujenzi wa miundombinu inajegwa na wakandarasi wa kigeni hasa Wachina, miradi hiyo mingi imesimama pesa ya kuwalipa hakuna. serikali inajaribu kuwashawishi waendelee kujenga kwa fedha zao na sisi tutalipa riba ambayo ni mzigo mkubwa kwa Nchi, yapo mambo mengi madogomadogo Mama...
  2. T

    Starlink internet sasa yaingia Zambia, Wazambia sasa kupata internet ya kasi isiyo na kikomo

    Kampuni ya kusambaza mtandao ya Starlink ya Elon Musk imepewa kibali cha kutoa huduma nchini Zambia. Kwa sasa wazambia wataanza kupata internet ya kasi zaidi kutoka Starlink. Kumbuka Starlink inakupa internet ya 1 Terabyte kwa chini ya shilingi laki 1 kwa mwezi kwa kazi kubwa na ukimaliza hiyo...
  3. TODAYS

    Kamala Harris karibu Tanzania ila usitupige chenga kama Wazambia, au umekosea?

    Amani kwako mdau. Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema. Mara baada ya purukushani kadhaa huyu mama akadai miaka ya 1960, babu yake mzee Gopalan aliyewahi kuishi nchini humo baada ya...
  4. Jackal

    Wazambia wahitaji maelezo kuhusu Mwanafunzi wao aliyefungwa Urusi kufariki vitani

    Government of Zambia says a Zambian student, Lemekhani Nathan Nyirenda, has “died at the battlefront in Ukraine”. Zambia has asked Russia to provide info on how “Zambian citizen serving a prison sentence in Moscow, could have been recruited to fight in Ukraine.” A 23-year-old Zambian student...
  5. MamaSamia2025

    Wazambia wanashangaza na utamaduni wao wa nidhamu ya mdogo kumpigia magoti mkubwa.

    Miaka kadhaa iliyopita kuna picha ili-trend sana mitandaoni ya Waziri mstaafu wa kilimo wa Zambia kuonekana amempigia magoti Rais mstaafu Edgar Lungu (nimeipost). Watu wengi sana walitoa maoni yao na wengine kufikia hatua ya kumlaani Rais Lungu kuwa ni dikteta anayedhalilisha watu wake. DC wa...
  6. B

    Rais wa Zambia mwezi 8 ofisini bila mshahara, Wazambia kwanza

    Rais Hakainde Hichilema wa Zambia mwezi wa 8 sasa hajawahi kupokea mshahara. Kwake wazambia kwanza: Kwetu si mishahara yao na posho tu zilizo nona haswa, bali sisi kukamuliwa kweli kweli. "Kwetu ni self service." Nani anasema tatizo letu si katiba? Si kuwa tuna watu madarakani ambao...
  7. MamaSamia2025

    Mahakama na wanasiasa wa Tanzania wana la kujifunza kwa Wazambia kuhusiana na kesi za matokeo ya uchaguzi

    Mwaka huu nimetokea kuvutiwa na siasa za Zambia na kuamua kufuatilia mambo kadhaa kupitia mitandao ya kijamii. Kuna jambo limetokea siku za hivi karibuni ambalo limenishangaza sana na ni somo kubwa sana kwa siasa za Tanzania na mhimili wa mahakama. Wote tunakumbuka uchaguzi wa wenzetu...
Back
Top Bottom