Habari Wana jf, naitwa Alfred umri 34 toka Uvinza, elimu yangu diploma na mfanyakazi katika shirika linajihusisha na huduma za kijamii, najitokeza kutafuta mchumba ambaye kama Mungu atapendeza aje kuwa mke wa maisha, ningependa pia awe mcha Mungu na asiyetumia kilevi chochote kile lakini pia...
Mimi ni kijana wa kiume, 29yrs mkazi wa DSM. Natafuta rafiki wa kike/mchumba umri 20-25 au zaidi mwenye nia ya dhati ya kutulia kwenye mahusiano na kufikia kuanzisha maisha pamoja.
Aliye tayari anicheki inbox. Itapendeza kama atakuwa Dar au mkoa jirani. Awe anajiweza kidogo kiuchumi (awe na...
Hello everyone,
Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha.
sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa nimejiajiri.
sifa za mme, asivute sigara, awe na hofu ya mungu, sichagui kabila, asiwe na mtoto, asiwe...
Natafuta mchumba wa kike ambaye aliye ni muelewa awe maeneo ya Pwani hususani Dar es Salaam au Bagamoyo
Mwenye upendo wa kweli umri wake uanzie miaka 21 na kuendelea dini awe mkristo itapendeza zaidi awe tayari kuja tuishi wote Bagamoyo.
Kwa maelezo zaidi aje PM
Wakuu natumaini mko poa mimi ni kijana nina umri miaka 25 natafuta mwanamke aliye serius awe mchumba na baadaye mungu akijalia ndoa
Mimi nimejiajiri, mrefu wastani, mweusi na ninajitegemea naishi Dar es Salaam, elimu yangu ni Diploma kabila langu mchaga.
Naitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo...
Mimi ni kijana wa kitanzania,nina umri wa miaka 26, ninaishi Mbeya kwa sasa na ni mkristo kwa dini, elimu yangu ni ya chuo(degree), sina kazi bado naangaika na maisha najishughulisha na shughuli zangu binafsi huku nikiangalia ni wapi pa kutokea, nahitaji msichana kati ya miaka 20 - 24, tutaanza...
Naitwa Iman
Umri miaka 26
Nimejiajiri nb. Mkurugenzi wa Kampuni
Makazi: SHINYANGA
SIFA ZA MSICHANA HUYO
- Awe mkristu
-black beauty
- awe mtiifu
- awe mkweli
-urefu wa kati
-umbo la kati
- watsapp ni 0682375285 piga na tuma text
Natafuta rafiki wa kike ambae huenda baadae akawa mke wangu.
Sifa zangu ni:
1. Mtaratibu
2. Mkarimu
3.Mrefu wastani
4.Mwenye ya mungu
5.Mwenye heshima na upendo
6.Umri wangu miaka 23
Awe na sifa angalau kati ya hizi
1.Awe na hofu ya Mungu
2.Mwenye kuvalia kawaida
3.Mkarimu
4.Mwenye...
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya familia na hulka za kimaendeleo. Umri min Miaka 18 na max 32.
Akiwa amepata elimu walau kuanzia...
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako
kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake
lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa
na haya husababishwa na mazingira.
tsh9000tu.
kama vile
kutokwa na chunusi
kutokwa na utangotango
kuwashwa...
Habari wana JF,
Kwa miaka 6 nilikuwa Dar kikazi, hatimae maono ya kurudi nyumbani kwetu Mwanza yamefanikiwa, na sasa ni mwezi wa 3 nipo Mwanza naendelea na Kazi, nimeshapanga Nyumba, ila upweke unanisumbua, ila nina ukabili kwa nia thabiti ya kumpata Mwenza.. Mke wa Maisha. Hivyo I'm not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.