mpenzi

  1. Joo Mtangazaji

    Natafuta Mchumba/Girtlfriend (Age around 20) Niko Dodoma

    Hello, mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 27 niko Dodoma, nahitaji mchumba/girlfriend mwenye age 18 - 25 ambaye yupo serious na ana real love coz nitampenda na kumpa nafasi anayostahili. Anicheki kwa 0782 855 136.
  2. Miss Zomboko

    Zambia: Binti afungua kesi dhidi ya mpenzi wake kwa kuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka 8 bila kumuoa

    Gertrude Ngoma (26) amefungua kesi akidai kupotezewa muda na kuchoka kusubiri kuolewa na Herbert Salaliki ambaye wamekuwa kwenye Uhusiano wa kimapenzi kwa miaka 8 Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe...
  3. M

    Kuwa na mpenzi "mtoto" inahitaji ujasiri sana

    Wakubwa habari zenu? Leo naleta mada hapa ila kiukweli nina amani na furaha tele ingawa jana nimepigwa kibuti. Huyu jamaa kwa kweli haeleweki. Yeye mwenyewe pia hajielewi anataka nin katika haya maisha. Ni kijana wa miaka 31, ameajiriwa na amepanga chumba kimoja. Tumefahamiana naye muda mrefu...
  4. masara

    Unaweza mwambia mpenzi wako mpya makosa yako uliyofanya hadi ukaachwa?

    Ni swali fupi tu hapa na sababu ni fupi tu ya kuletwa kulewa hili swali... Sio rahisi mtu anapoanzisha mahusiano mapya kusema kuwa yeye ndio kaachwa au yeye ndio alifumaniwa ndio ikawa sababu ya yeye kuachwa.ila wengi huwa wanasema upande wa pili kuwa kuwa ndio wenye makosa na wao ndio...
  5. adamWaEden

    Mambo muhimu yakuzingatia baada ya kuachana na mpenzi wako

    Je? Wewe ni mmoja kati ya wanaosema maumivu ya kuachwa ni makali kushinda maumivu ya viungo vya mwili? Mbona ni kama unajaribu kuwashauri madaktari waanze kufanya oparesheni bila ganzi hivi? Enewei! Tuachane na hilo! Jambo la msingi ni kuwa kuna maisha baada ya Brekapu 💔! Yafuatayo ni mambo...
  6. R

    Mpenzi amebadilika nifanyaje

    Habarini wana jamii forums huwa napenda sana michango yenu humu maana kuna watu wapo bright sana na wana ushauri mzuri sana Ipo hivi, nina mpenzi wangu tuna miaka miwili sasa katika mahusiano yetu siku hizi ameanza katabia hanitafuti kabisa na mimi nikinyamaza nae anakaa kimya Zamani alikuwa...
  7. EINSTEIN112

    Ukimfumania mwenzi wako "unakinukisha" kwa nani? Mwizi wako au mpenzi wako?

    Mimi sihangaiki na mwizi wangu maana huenda amedanganywa kwamba manzi yangu ipo singo, namuanzishia mpenzi wangu na kumfungashia virago kuanzia dakika hio NB: Kama mwizi wangu ni mshkaji ua jamaa anayejua nina uhusiano na huyo manzi hapo patawaka moto kwa wote wawili. We tuambie utapambana na...
  8. R

    Natafuta mpenzi wa kike mwenye virusi vya Ukimwi

    Habari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine tutaelezana PM. Dini si muhimu sana kwangu. Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke. Dira...
Back
Top Bottom