kupima afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wanaume acheni ubabe kwenye kupima afya zenu

    Bado baadhi ya wanaume wanashindwa kupima afya zao wakitegemea majibu kutoka kwa wenza wao. Hali hii imekuwa ikiwaumiza wanawake wengi hasa wanawake wajawazito bila ya kujua wafanye nini Ili kuwafanya wenzao wao wawe na muamko wa kupima afya zao. "Nilipomuambia mume wangu inahitajika mimi na...
  2. beth

    Umuhimu wa kujenga utaratibu wa kupima Afya mara kwa mara

    - Huwezesha kujua hali yako kiafya: Vipimo vya mara kwa mara hupelekea mtu kuwa na taarifa muhimu zitakazomsaidia kufanya maamuzi sahihi kuhakikisha ustawi wa Afya yake - Husaidia kubaini Magonjwa mapema: Utaratibu wa kwenda kupima Afya yako mara kwa mara unaruhusu Madaktari kubaini viashiria...
  3. M

    USHAURI-MABARA NZURI YA KUPIMA AFYA

    Wadau naomba ushauri maabara bora ya kupima afya maeneo ya Bunju, Tegeta na hata Mbezi Beach. Iwe maabara tu sio hospital. Ahsante
  4. kasagama

    Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

    Habari wanaJamii Forum Bas bwana baada ya mida ya kazi huwa napenda kukaa kwa wakala mmoja hivi anasajil lain pamoja na kutoa pesa ss kuna fundi nguo mmoja anashona nguo karb yake, kila nikiwa kwa jamaa yule fund anapenda kukutanisha macho na mm, nikamuuliza yule wakala kuhusu dem akaniambia...
  5. proton pump

    Umuhimu wa kupima afya zetu kabla ya kutumia dawa

    Katika maisha yetu tunasumbuliwa na magonjwa ya aina mbalimbali ambapo inatulazimu kutafuta dawa za namna Fulani iwe za mitishamba au za hospitalini, suala hili wakati mwingine hutokana na kuwa na kipato kidogo au kukosa mda wa kufuatilia afya yako kwa wale wenye uwezo kifedha Jambo ambalo ni...
  6. F

    Mwajiri ana haki ya kumlazimisha mwajiriwa kupima afya?

    Hivi majuzi timu ya mpira wa miguu ya Simba baada ya kikao cha kamati ya nidhamu iliadhimia kumpeleka mchezaji Jonas Mkude kupima afya ya akili Mhimbili. Swali iko wapi haki ya Siri ya afya ya mwajiriwa? Je, endapo Mkude atakataa kwenda hospital Simba watamfanya nini? Na vipi Mkude akiamua...
  7. Good Father

    Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

    Kwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja. Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana. Tukapata msosi tukaelekea...
Back
Top Bottom