fingerprint

A fingerprint is an impression left by the friction ridges of a human finger. The recovery of partial fingerprints from a crime scene is an important method of forensic science. Moisture and grease on a finger result in fingerprints on surfaces such as glass or metal. Deliberate impressions of entire fingerprints can be obtained by ink or other substances transferred from the peaks of friction ridges on the skin to a smooth surface such as paper. Fingerprint records normally contain impressions from the pad on the last joint of fingers and thumbs, though fingerprint cards also typically record portions of lower joint areas of the fingers.
Human fingerprints are detailed, nearly unique, difficult to alter, and durable over the life of an individual, making them suitable as long-term markers of human identity. They may be employed by police or other authorities to identify individuals who wish to conceal their identity, or to identify people who are incapacitated or deceased and thus unable to identify themselves, as in the aftermath of a natural disaster.

View More On Wikipedia.org
  1. Trubarg

    NHIF watumie mfumo wa fingerprint scanner kutambua wanufaika/ watoto badala ya kusumbua wazazi

    Habari wadau. Kumekuwa na wimbi la wafanyakazi wa NHIF waliopo mahospitali kuwataka wazazi wabadilishe vitambulisho vya watoto kwakuwa picha zilizopo kwenye vitambulisho hazifanani na watoto kutokana na kubadilika. Mimi hiki sikatai. Watoto wadogo wako katika hatua ya makuzi si jambo la...
  2. Tomaa Mireni

    SoC03 Umuhimu wa serikali kuwa utambulisho wa fingerprint ulio bora zaidi

    Fingerprint ni nini? Kwa kiswahili (alama za vidole) ni alama au michoro inayopatikana kwenye vidole vya binadamu na zina maelezo ya kina ambazo hudumu katika maisha ya mtu na hivyo kuzifanya zifae kama viashirio vya muda mrefu vya utambulisho wake. Zinaweza kutumiwa na polisi au mamlaka...
  3. BARD AI

    TCRA: Usikubali kuingiza Alama za Vidole mara mbili wakati wa kusajili Line

    MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeeleza wahalifu wa mitandao ya simu maarufu kama 'Tuma kwa namba hii' wanavyosajili laini kinyemela kwa kutumia vitambulisho na alama za vidole vya watu, bila wahusika kugundua. Imesema uhalifu huo hufanywa na mawakala wanaosajili laini za simu mteja...
  4. JituMirabaMinne

    Kupata access ya kulitumia gari lako/ Car Fingerprint push to start/ Door locks n.k.

    Habari Guys Nina Biometric kit mbili kwa ajili ya magari. Lengo ni mtu kupunguza idadi ya watu wanaoweza kuaccess gari lako. Kuna option mbili Naweza kuuza mojamoja zikafungwa kwenye gari mbili tofauti, Maana yake mtu hatoweza kuwasha au kuondoka na hilo gari unless awe ameregister vidole...
  5. Mr bongo

    INAUZWA Special Thread: Tunauza na Kufanya installation ya vitu mbalimbali (Kamera, Umeme wa kwenye fensi, Biometry Fingerprint nk)

    BILL COUNTER MACHINE* MASHINE YA KUHESABIA HELA 🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services 🔺Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa 🔺Mawakala wa...
  6. K

    Gharama ya fingerprint scanner

    Nani anajui bei ya hiki kifaa cha kusoma fingerprint na mahali pa kukipata kwa Mwanza Nahitaji kinachosoma kwenye simu za android maana kitatumika kufanya usajili wa simcard
Back
Top Bottom