eacop

The East African Crude Oil Pipeline (EACOP), also known as the Uganda–Tanzania Crude Oil Pipeline (UTCOP), is under construction and intended to transport crude oil from Uganda's oil fields to the Port of Tanga, Tanzania on the Indian Ocean. Once completed, the pipeline will be the longest heated crude oil pipeline in the world. Because of the large scale displacement of communities and wildlife, global environmental groups are protesting its construction and finance.

View More On Wikipedia.org
  1. Jamii Opportunities

    QC Advisor – Coating & Insulation (10 posts) at EACOP March, 2024

    Inter-consult Ltd is a leading, dynamic ISO 9001: 2015 Certified Multidisciplinary Consultancy Company operating in Tanzania and the East African Region for over 44 years offering services ranging from Studies, Designs, and Supervision to Management of projects in the infrastructure sector. We...
  2. Jamii Opportunities

    Request For Expression Of Interest For Provision Of Construction Materials at EACOP January, 2024

    Request for Expression of Interest for Provision of Construction Materials Reference No.: CPP-PROC-TZ-074-0103-C1C4 China Petroleum Pipeline Engineering Co., Ltd. (hereinafter abbreviated as CPP) as Pipeline, Feederline & Above Ground Installation Contractor for the East African Crude Oil...
  3. Jamii Opportunities

    Request For Expression Of Interest at EACOP January, 2024

    Request for Expression of Interest for Provision of Works of Electrical Construction for Main Camps & Pipe Yards (MCPYs) 11/12/16 Reference No.: CPP-PROC-TZ-075-0103-C1 China Petroleum Pipeline Engineering Co., Ltd. (hereinafter abbreviated as CPP) as Pipeline, Feeder line & Above Ground...
  4. Crocodiletooth

    Meli yenye Mitambo ya ujenzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) yawasili

    Meli kubwa ya kwanza MV Innovation Way kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu iliyobeba mitambo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). kutoka Hoima, Uganda hadi mkoani Tanga. imewasili katika bandari ya Tanga. Meli hiyo imebeba mitambo kwa ajili ya...
  5. BARD AI

    Wafanyakazi wa Boma la Mafuta (EACOP) wafikishwa Mahakamani kwa wizi wa Mafuta Lita 7,441

    Ni Wafanyakazi 4 wa Kampuni ya JV Spek LTD inayojenga mradi mkubwa wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Igunga, Tabora. Watuhumiwa hao ni pamoja na waongoza Mitambo Ally Said (36), Samwel Mtenga (35), Awadh Mrango (36) na...
  6. Lexus SUV

    Kuna yeyote anayefatilia Opportunity hii ya EACOP online learning platform?

    Habari, Napenda ulizia kwa yeyote anayefuatilia hii online learning platform ya EACOP je kuna any information waungwana? MIMI nime complete session ya kwanza, next stage lini?
  7. Roving Journalist

    EACOP Wanatoa mafunzo yenye nia ya kupata wafanyakazi watakaoajiriwa wakati wa uendeshaji wa miundombinu ya bomba la mafuta

    Kampuni ya EACOP imeanza usajili na mafunzo ya online kwa wiki 8 yatakayofwatiwa na mtihani wiki ya 9 kwa ajili ya kupata vijana 140 wenye umri kati ya miaka 18-28 watakaoshiriki katika mlolongo wa mafunzo yenye nia ya kupata wafanyakazi watakaoajiriwa wakati wa uendeshaji (operation &...
  8. Elli

    Fursa ya Mafunzo na EACOP

    Vijana wangu, nasikitika kwamba Sina sifa za kuhudhuria hii fursa, jitahidi saana kama una umri huo na vigezo tajwa hudhuria hii training. Narudia, usiharibu bando yako kwinginee, tumia just hizo week kadhaa kufanya hizo training. Ningeruhusiwa ningehudhuria bahati mbaya umri umenitupa sana...
  9. benzemah

    Mradi wa bomba la mafuta EACOP watoa ajira 3,000 Tanzania

    Mradi wa Bomba la mafuta ghafi unaojengwa kutoka Hoima nchini Uganda kupitia Tanznaia hadi Chongoleani mkoani Tanga umetajwa kutoa ajira zaidi ya 3,000 ikiwemo 300 za kudumu hapa nchini Mradi huo utakaokuwa na urefu wa zaidi ya Kilometa 1147 mbali na ajira utatoa pia fursa mbalimbali za ajira...
  10. BARD AI

    Ufaransa waandamana kupinga TotalEnergies kujenga Bomba la Mafuta ghafi la EACOP

    Wanaharakati mjini Paris Jumatano waliandamana dhidi ya Benki 2 zinazohusika katika ufadhili wa mradi wa mafuta wenye utata katika Afrika Mashariki, sehemu ya maandamano yanayoratibiwa katika miji kadhaa duniani kote. Takriban wanakampeni vijana 30 kutoka kundi la Stop Total waliandamana mbele...
  11. HERY HERNHO

    Papa Francis aitaka Urusi kuacha vita vya kipuuzi na kikatili

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kusitishwa kile alichokiita vita vya "kipuuzi na kikatili" nchini Ukraine. Wito huo ameutoa Jumatano mjini Vatican, katika hadhara yake ya kila juma, ikiwa ni kipindi kifupi kabla ya kutimia mwaka mmoja tangu...
  12. BARD AI

    Standard Bank yatetea ujenzi wa Bomba la Mafuta (EACOP)

    Standard Bank Group, benki ya kimataifa na yenye ushawishi katika ufadhili wa miradi mikubwa ya maendeleo barani Afrika imesema ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) utakuwa na manufaa kwa wakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Standard...
  13. BARD AI

    Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

    Kampuni hiyo ya uzalishaji mafuta imetakiwa kufika mbele ya jopo la Wabunge wa Umoja wa Ulaya Oktoba 10, 2022 kujieleza kuhusu athari za Kimazingira na Ukiukaji wa Haki za Binadamu kwenye utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
  14. Jidu La Mabambasi

    Bomba la mafuta EACOP toka Uganda lazima lijengwe

    Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Kassim, Waziri Mkuu wa JMT. Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania. Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na...
  15. Rashda Zunde

    Serikali yatoa msimamo ujenzi bomba la mafuta la EACOP

    Serikali ya Tanzania imesema hakutakuwa na athari zozote za kiamzingira wakati wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Hoima Uganda hadi Chomgoleani Tanga, kwani tahadhari zote zilizingatiwa kitaalamu. Waziri wa Nishati, January...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Ni watu gani wanajaribu kuzuia mradi wetu wa Bomba la mafuta (EACOP)

    Naomba tujadili ndugu zangu. Mimi nimeumia sana kuna watu wanazuia mradi wetu wa bomba la mafuta. Mimi najiuliza hawa wanaozuia tumewakosea nini. Huu mradi kwanini wanauzuia. Serikali yetu kwanini imekaa kimya juu ya hili. Ni wakati wasisi kujadili ni nani anasababisha huu mradi wetu...
  17. K

    BIG Blow for EACOP as Deutsche Bank Cancels Financing

    All along we were made to believe the deal was done. It appears Total has no money to finance the project, and it's main lenders are all dropping out one by one, thanks to environmental activists in Europe. Is EACOP facing the same fate as US Keystone pipeline project? Perhaps Tanzania and...
  18. Lameckjr

    Contract wa EACOP

    Habari wakulungwa , Naomba kufahamu jina la contractors wa huu mradi wa EACOP, Lakini pia naomba kufahamu huyu EALS naye ni nani kwenye huu mradi maana sielewin, nimejaribu kuugogle but sijapata majibu takwa, Asanteni sana
  19. Stephano Mgendanyi

    Bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)

    BOMBA LA MAFUTA GHAFI LA AFRIKA MASHARIKI (EACOP) ✍🏻 Huu ni mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Kabaale – Hoima nchini Uganda kwenda kwenye peninsula ya Chongoleani mkoani Tanga nchini Tanzania. Mradi huu una urefu wa jumla ya kilomita 1443 kati ya hizo kilomita...
  20. K

    Nairudisha Bandari ya Bagamoyo ukumbini, nikiiunganisha na ujenzi wa Bomba la Mafuta (EACOP)

    Ujenzi wa Bomba la Mafuta toka Hoima hadi Tanga, ni "Joint Venture", na tumekwishashuhudia hatua zote zinazohusika na mradi huo zinavyoandaliwa na kupata maelezo namna mradi utakavyotekelezwa. Haya mambo kwa sehemu kikubwa yamewekwa wazi, na hatujashuhudia kelele nyingi zikipigwa toka kwenye...
Back
Top Bottom