Binance is a Cayman Islands-domiciled cryptocurrency exchange that provides a platform for trading various cryptocurrencies founded in 2017. As of April 2021, Binance was the largest cryptocurrency exchange in the world in terms of trading volume.Binance was founded by Changpeng Zhao, commonly known as "CZ", a developer who had previously created high frequency trading software. Binance was initially based in China, but later moved its headquarters out of China due to China's increasing regulation of cryptocurrency.
Mwanzilishi wa Binance na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Changpeng Zhao alihukumiwa kifungo cha miezi minne jela Jumanne hii, Aprili 30, 2024 baada ya kukiri kosa mwaka jana la kukiuka sheria za serikali za utakatishaji fedha pamoja na kampuni yake ambayo pia ilikiri kukiuka...
Habari wa kuu nimeona capital ya hii biashara ya uwakala wa p2p katika binance wanadai ianzie 1000$ .
Ila nina baadhi ya maswali naomba msaada wenu.
1. Vipi risk ya hii biashara?
2. Vipi wateja unatafuta mwenyewe au imekaa vipi?
Ubadilishanaji mkubwa wa kifedha unaokua kwa kasi zaidi ulimwenguni hauna ofisi kuu au anwani rasmi, hauna leseni katika nchi ambako hufanya kazi na ina mtendaji mkuu ambaye hadi hivi majuzi hangejibu maswali kuhusu eneo lake.
lianzishwa miaka minne tu iliyopita, Binance ndiye kampuni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.