Hicho ndicho kinachotakiwa kufanyika haraka. Kuchelewesha malipo kunawafanya wanaodai mafao yao kuanza kutoka nje na kwenda kukopa na kujiongezea matatizo kibao! Sasa hivi na janga hili la korona sijui itakuwaje!
WanaJF,
Utendaji kazi wa baadhi ya watumishi NSSF Ubungo haulidhishi kabisa! Nimekuwa nikifuatilia kulipwa mafao yangu toka mwezi 7, 2019 mpaka leo hii sijalipwa napigwa kalenda tu bila hata kujali kuwa mtu huyu anatokea wapi! Manake si kila mtu anaishi na kufanya kazi Dar es Salaam. Watu...
Inasemekana hata Acetaminophen inaweza kutumika kufubaza makali ya Corona virus mpaka hapo mgonjwa atakapopata nafuu na kupona kutokana na kinga zake za mwili kwani ugonjwa huu mpaka sasa haujapata tiba wala chanjo!
Mkurugenzi William Erio ni mtu mchapakazi asiyetaka watu wazembe kama wewe mtoa post.Ni mwendawazimu tu asiyejua ni jinsi gani PPF ilivyokuwa akichapa kazi ukilinganisha na NSSF.
Wafanyakazi wengi tu wa NSSF mlishazoea rushwa na wizi sasa kaletwa kiongozi mchapa kazi mmeanza majungu! Hapo makao...
WanaJF,
"Maalim Seif, Maalim Seif, Maalim Seif," ndiyo maneno waliyokuwa wakiyatamka na kuyaimba wanaUkawa katika ufunguzi wa Bunge la 11, 2015 Bungeni Dodoma leo!
Kitendo hicho kimefanyika mara baada ya viongozi walioko madarakani kuanza kuingia katika ukumbi wa Bunge na hasa pale alipoingia...
Nini chanzo cha mgogoro na kwa nini mkandarasi afukuzwe? Jengo limejengwa chini ya kiwango wenye macho wameona na kusema. Mkandarasi kaambiwa akimbie ili afunike kombe mwarabu apite wewe unasema kafukuzwa! Siku jengo litakapoporomoka ndipo utakapokumbuka verbal/written evidence tunazozitoa sasa...
Huyo jamaa anayejenga ghorofa la chuma hapo pembeni ya soko lenye nyufa ni kiboko! Ametoa mfano hai kwa serikali ya mkoa wa mbeya kuwa wangejenga kitu kama hicho anachokiporomosha!
WanaJF,
Usimamizi mbovu wa ujenzi wa barabara na majengo mengi hapa nchini unaligharimu Taifa hili huku watu wachache ambao ni wezi wakinufaika!
Soko la Mwanjelwa mpaka sasa halijafunguliwa kutokana na kujengwa kwa kiwango cha chini kulikosababisha kuta kupasuka na kutoa nyufa hata kabla...
Mwili jumba Kapiteini Komba sasa hivi mapigo yake ya kijeshi kayaelekeza kwa totoz! Kwata la TPDF kesha lisahau hata msituni alikotishia kwenda sidhani kama ataweza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.