Search results

  1. Mangungo II

    Usiende kukopa kwa hizi kampuni maarufu za mikopo hasa kwa Watumishi wa Umma

    Naam!! Kitambo sijaandika Uzi humu. Mara nyingi ni mchangiaji ila Leo nimepata sababu ya kuandika kitu hapa labda kitawasaidia watu au kuwakumbusha tu. Kama wewe ni mtumishi wa umma au una ndugu kapata ajira hivi karibuni. Naomba nikuusie. USIJE JARIBU KUOMBA MKOPO Kwa hizi hizi kampuni...
  2. Mangungo II

    Mbeya Pazuri...

    Naam Niko mbeya Pazuri hapa From Tanga mjini to mbeya. Kiwa ja kina vibe misambwanda kama yote daaah. Ukifika mbeya usisahau kutia maguu hapa mbeya Pazuri na pale Nasoma Open Bar Mbeya Pazuri Iko SAE na Nasoma Open Bar Iko MAMA JOHN. nani Yuko hapa anakula lager
  3. Mangungo II

    Wapi nitapata samaki mbasa hapa Dar

    Naam watu wa nyanda za juu kusini watanielewa zaidi Nadiriki kusema hakuna samaki mtamu kuliko duniani. Yes ndio numekula sangara, sato, kambale, kibua, changu, chuchunge na wemgineo lakini katika samaki mapenzi ya dhati yalibaki kwa mbasa wa ziwa Nyasa. Roho yangu ilisuuzika barabara...
  4. Mangungo II

    Serikali itoe ufafanuzi kwanini kuna watu waliostahili kupata daraja jipya hawajapata

    Naaam, Kwa taarifa nilizonazo sio wote waliostahili daraja jipya la mshahara wamepata. Kuna kundi kubwa la watu wametoka bila bila Serikali itoe ufanunuzi kwanini hao wengine wamewekwa reserve. Je, watapanda lini? Na je, hamuoni mnatengeneza tatizo jipya la malimbikizo huku mkitatua la...
  5. Mangungo II

    Albert Msando: Ngoja nikung'ate sikio kuhusu Moro town

    Naaam berto , Brother naamini uko poa kabisa na ushaanza majukumu yako kwa nafasi uliyopewa kwa Ari na nguvu mpya . Hongera Sana muheshimiwa . Ni hivi sisi wakazi Moro tunaomba tukudokeze agenda moja muhimu Sana kuhusu huu mji . Mhe. Tatizo la maji Safi na salama katika mji wa Moro Ni sugu...
  6. Mangungo II

    Wasemavyo watu kuhusu N'golo Kante

    Tweet mbali mbali wasemavyo watu kuhusu the magician ,le general ,the shy and humble human being down to earth ,ustaadh N'golo Kante
  7. Mangungo II

    Golden State Warriors Fans Special Thread

    Naam, tukutane hapa wale wapenzi wote wa Dubs #Dubnation na wazee wote wa kikapu Mambo ya #Hoops[emoji459] Tuijadili timu yetu hii yenye wachezaje wenye vipaji lukuki. Misimu miwili na nusu iliyopita ilikuwa migumu sana kwetu. Ile winning spirit ilipotea Sana hasa baada ya kukumbwa na majeruhi...
  8. Mangungo II

    Ndayiragije maamuzi yake yalikuwa muhimu Sana dakika za mwisho ili stars isonge mbele

    Nimecheki mpira vijana walikuwa kwenye form mwanzo Ila kadri dakika zinavyoyoma pumzi zinawakata na wanaanza kupoteana . Kulikuwa Kuna wachezaje Kama watano mule ndani wamechoka .Na kocha kafanya sub moja tu ,it means alikuwa na na sub Kama nne hivi . Baada ya like goli letu la pili Jamaa...
  9. Mangungo II

    Lyanga anazingua Sana kwa kupoteza mipira na chenga zake za kijinga

    Ndayiragije huyu kijana wako Lyanga ataicost timu mechi zijazo. Anapata pass nzuri Ila hafocus kutafuta goili yeye anakimbilia kwenye Kona tu na kupigwa vyenga Kama Ronaldo, kwanza chenga zenyewe hawezi. Tunahitaji wachezaji wako serious kutafuta goli sio kupiga chenga za kijinga Tumeshinda...
  10. Mangungo II

    Wapi nitapata hizi softwares

    Naam nataka kujua Ni wapi naweza nunua hizi software hapo dar Adobe illustrator Adobe Photoshop ArchCAD Au AUTOCAD CC@chiefmkwawa
  11. Mangungo II

    Sisi sote ni ndugu kataeni Ubaguzi

    Naam ndio kama hivyo Sasa anakuja yule malaika mkuu anasema sijui ni nini na nini [emoji15]
  12. Mangungo II

    M-Pesa & MasterCard ina matatizo?

    Kwa wateja wa hii huduma he mnakumbana na tatizo la transactions kulipia huduma za mtandao . Mimi kwangu Ina goma kila wakati haiwezi lipo tatizo sijui ni nini? na Voda wamekaa kimya Nilifuta kadi nikatengeneza ingine lakini Tatizo liko vile vile Je, wamesitisha huduma hii? Je, Kuna tatizo...
  13. Mangungo II

    Bloomberg billionaire Index: The rich get richer, the poor get poorer

    Matajiri wataendelea kuwa matajiri na masikini wataendelea kuwa masikini. Msemo wa siku nyingi sana. Wakati hapa Tanzania watu wanalalama vyuma vimekaza .They can't breathe [emoji3]Hali iko tofauti huko "duniani" Matajiri wakubwa 500 dunia ukwasi wao umeendelea kupaa kwa spidi za ajabu sana...
  14. Mangungo II

    Irene Uwoya

  15. Mangungo II

    Je, kati hizi mbili wewe muoaji mtarajiwa umepanga kufanya ipi?

    Kwa wale wanaotarajia kuoa Je, kati ya hizi situation mbili ipi ambayo wewe utaifanya (hususani wanaume) Naomba maoni yako Napata mtanziko[emoji44]
  16. Mangungo II

    Miaka 8 ndani JF

    Duuh nilitaka nisahau [emoji3] Napitia profile yangu naona tarehe ya leo inafanana na siku niliyojiunga JF Nilikuwa Niko mtaani enzi hizo ramani haisomeki [emoji3] Nimepata mengi sana hapa Nimezoea huu mtandao kiasi kwamba siwezi kuwa online bila kupita hapa Cha ajabu katika hio Miaka 8...
  17. Mangungo II

    Je unaipenda CCM au CHADEMA

    Chagua[emoji12] Sent using Jamii Forums mobile app
  18. Mangungo II

    Nichukue ipi kati ya HP pro x2612 na Lenovo Yoga

    Kati ya hizo Laptop mbili niichukue ipi wakuu. Zote mbili zinaweza tumika Kama TABLET Naamanisha ipi Ina uiamara zaidi kuliko zingine Itatumika kwa kazi za kawaida tu Cc.@cheifMkwawa
  19. Mangungo II

    Unavaa size gani ya kiatu?

    Naam Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa . Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu Viatu vya mguu wangu gharama sana Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k Na vya mtumba vya...
  20. Mangungo II

    Je hizi ni CPU au ni kitu gani?

    Naomba kujuzwa maana nimejaribu kugoogle bado maelezo ya huko hayajaniridhisha Cc@chiefmkwawa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom