Search results

  1. Inevitable

    Maimu wa NIDA na wenzake wafutiwa kesi zote

    Dickson Ernest Maimu na wenzake wote wamefutiwa rasmi mashitaka yao yote leo na DPP katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Oktoba mwaka jana, alifutiwa kesi moja ya Utakatishaji Fedha zikabaki kesi tatu: Uhujumu uchumi, kuisababishia Serikali hasara na Matumizi mabaya ya Madaraka...
  2. Inevitable

    Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

    Wakuu, Muda huu M/Kiti wa CHADEMA na viongozi waandamizi 9 wa chama hicho wapo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Tutarajie jambo gani jipya? Ndo ukurasa mpya wa Siasa za Tanzania? UPDATE: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha majadiliano pamoja...
  3. Inevitable

    Hatma ya ubunge wa Mdee na wenzake kujulikana leo

    Vyanzo vya ndani vinadai Ubunge wa kina Halima unaweza kuisha leo kwani Bunge limeshafanya maamuzi. Tusubiri, ni muda mchache ujao
  4. Inevitable

    Kikokotoo(Mafao): Rais Samia anastahili pongezi kwa hili

    Jana, statement toka Ikulu ilieleza kuwa Rais Samia amepokea mapendekezo ya kanuni mpya ya mafao ya Pensheni, kama ilivyoombwa na chama cha wafanyakazi Tanzania (TUCTA) siku ya sherehe za wafanyakazi (Mei Mosi, 2022), ambapo sasa amekubali ombi la kupandisha malipo ya mafao, kutoka 25%...
  5. Inevitable

    Kiluvya: Wananchi wadaiwa kuigomea Serikali kubomoa fensi zao

    Twende sawa kwanza: 1. Barabara hiyo inajengwa na TARURA na sio TANROADS. 2. Ujenzi wa barabara hiyo unaendelea na tena kwa kasi kubwa sana tu. 3. Mwanzo unapoanza ujenzi hadi mwisho unapoishia hakuna mwananchi yeyote aliyevunjiwa nyumba au ukuta zaidi ya kukata miti na michongoma. Kama yupo...
  6. Inevitable

    Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

    Wakuu, Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili. ======== UPDATE: Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo. Taarifa kutoka kwa...
  7. Inevitable

    Plot4Sale Nina 180,000,000. Natafuta kiwanja kilichopimwa (Surveyed plot) jijini Dar

    Surveyed plots? Za ukubwa angalau 2,000sqm?
  8. Inevitable

    Plot4Sale Nina 180,000,000. Natafuta kiwanja kilichopimwa (Surveyed plot) jijini Dar

    Mkuu, naweza kujua plot size tafadhali? Hata pembeni (DM)
  9. Inevitable

    Plot4Sale Nina 180,000,000. Natafuta kiwanja kilichopimwa (Surveyed plot) jijini Dar

    Wakuu, Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni...
  10. Inevitable

    Big Brother Naija 2021: BBNaija season 6 - Special thread

    Maria as Head of House... :-)
  11. Inevitable

    #COVID19 Benki ya Dunia: COVID-19 imewarudisha Watanzania takriban 600,000 chini ya mstari wa umasikini

    Nilikuwa Arusha siku chache zilizopita. Hali ya Uchumi kwa upande wa Utalii kwakweli inasikitisha. Lakini inajenga fursa kuona mbadala wa mazoea ya awali na kutengeneza akili mbadala za kukabiliana na majanga kama haya siku za usoni
  12. Inevitable

    Big Brother Naija 2021: BBNaija season 6 - Special thread

    Mimi mwenyewe ni shabiki wa Maria :cool:
  13. Inevitable

    Big Brother Naija 2021: BBNaija season 6 - Special thread

    Msimu mpya wa onyesho kubwa na la ukweli barani Afrika, Big Brother Naija, unaanza kuonyeshwa leo Jumamosi na Jumapili na waandaaji wakiahidi onyesho kuwa kubwa na bora zaidi kuliko hapo awali. Kutoka kwa onyesho la uzinduzi mara mbili hadi nyumba iliyofanyiwa marekebisho. Mwongozaji wa...
  14. Inevitable

    Rais Samia kuwa makini! Kuna genge linakuandama ili uharibu

    Salaam mama, hongera kwa kuanza kazi vizuri na pole kwa yote utakayokuwa unakumbana nayo katika siku hizi za mwanzo. Mhe. Rais, naomba nikujuze yafuatayo: Kuna genge flani la waliokuwa wanufaika wa mfumo haramu limekupania na litatumia Media na Mitandao ya kijamii kukuandama ili upate aidha...
  15. Inevitable

    Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Website ya CAG imeenda offline 20min ago. Ovyo tu
  16. Inevitable

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo na kesho kwa EPL ni match 18 na kiporo cha match 1, wazee wa kuweka mzigo mnatabiri nini?
  17. Inevitable

    Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40

    Size? Bei? Inanishawishi kuja na huenda ukapata client mwingine hapa hata kama si mimi
Back
Top Bottom