Habari zenu wapenzi
Tumo ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani waislam wote duniani napenda kuwatakia Ramadhani Kareem.
mfungo wa ramadhani
Ni moja wapo ya nguzo ya Dini.
Unapofika mwezi huu hakuna muislam anaekera bali kila mmoja anafurahi kutimiza nguzo hii
Wewe nani unae umia na kukereka...
Habari zenu wapenzi
Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻
Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada
Owky.
Mahitaji.
Tambi
chumvi
maji
mafuta
kitunguu Thom
kinguu maji
Nyanya
Binzari
pilipili (sio lazima)
Kwanza kabisa
Wachemsha tambi...
Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.
Moja kwa moja niingie jikoni
MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Mdalasini
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida
wazichanganya kwenye...
Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa...
Salamu
Mvua imekuwa kubwa sana katika mji wetu pendwa wa Dar es salaam kuanzia SAA 9 usiku hadi muda huu ambayo imeambatana na radi na upepo mkali,
Katika maeneo ya Ilala kuna nymba imeungua na shoti ya umeme, Ambao ulirudi kwa kasi sana na kusababisha wakazi wa nyumba hiyo kutoka bila nguo...
Amani iwe juu yenu.
Surat NAHAL.
katika mpangilio wa Qur'an hii ni sura ya (16)
Sura hii ina jumla ya Aya 128.
Je, kuna uhusiano gani kati ya jina la sura na namba ya sura (16), Na namba za Aya 128,
Naam upo mkubwa sana
Kisayansi NAHAL (Nyuki dume)
Ana chromosomes 16, Ambazo ndio namba ya...
Salamu kwenu wakuu.
Katika kipindi hichi cha ongezeko la nauli tunazidi kuona mengi hasa sie tunao tumia usafiri wa public tuna kumbana na kero nyingi mno
Asilimia kumbwa wanaofanya kazi mjini tuna tegemea tren kama usafiri wetu hii haipingiki
Kupanda treni sio shida, shida yanayo jiri humo...
Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.
Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa Mungu.
Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.
Ni ingie kwenye point.
Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.
Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua...
Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza...
Na tumaini nyote wazima wa AFYA
Kwasisi tunaoishi uswailini nadhani twamfaham vyema ndege huyu
Kero zake mbalimbali. Kuiba mboga, kuamsha watu asubuhi nk.
Nikero ipi uliwahi kupitia ambayo KUNGURU alikuwa sababu
Binafsi nilishawahi kudonyolewa sito sahaau.
Nawasalimu kwa jina LA jamuhuri wa muungano
Me Nimgeni jamvinii naombeni mnipokee mnipe ushirikiano.
Napi napenda kuwa kumbusha, Baadhi ya watu wanao kejeri wenza wanapo leta nyuzi zao wajirekebishe
Kama huna cha kucomment pita hiviiii
Ahsanten.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.