CHURADUME bado unaishi mazingira ya kuingiliwa na panya Hadi chumbani?
Bado unapiga mwanamke?
Wewe utakua mlevi wa pombe za ovyo za vilabuni.
Jitoe jamii forums.
NHIF Imekufa Ummy akiwa waziri.
Bima ya watoto wadogo imeyeyuka Ummy akiwa waziri.
Jukwaani anasema Samia amepunguza vifo vya kinamama wakati wa kujifungua kumbe hata kile kijikaratasi Cha taarifa za mama na mtoto Ni sh 10,000. Huyu Ummy ambaye sio daktari si ampishe @dkt.gwajima D kwenye...
Ajali Zina Kinga . Acheni ujinga. Mfano basi la NEW Force likidondoka kwenye korongo mtasema ajali haina Kinga? Wakati DEREVA mnamjua kabisa hajui udereva, hajapitia chuoni, leseni kaletewa na amelewa.
Ajali Zina Kinga. Enzi za BP, ulishawahi kusikia lorry la bplimepata ajali?
Nadhani Sasa Kama tulivyowapa waarabu bandari, tuwape jeshi la polisi, wizara ya ardhi, Tanesco, mwendokasi, Tanapa, haya majiji yote sita, Tanroads, chuo Cha Udom na TRC.
HATA WAFAGIZI OFISI WATOKE DUBAI.
VIJANA WETU WAKO BIZE WANA BET.
Epuka kutembea na kila mwanamme hapo ofisini.
Wanamme wa Sasa sio watu. Ukihawa 0713 ujue kila mtu kesho ofisini anajua.
Kama una k mbovu ujue tu wataambiana.
Kaka, umezaliwawapi? Simu za TTCL za mezani zinaunganishwa na waya mgumu Sana hata kuvutia gari unaweza. Yaani Ni Kama waya wa pasi au birika la umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.