Leo nimepigwa na mke wangu wa ndoa, imenisikitisha sana

CHURADUME

Senior Member
Jul 18, 2016
141
118
Ndugu zangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde. Sasa mke wangu huwa hapendi japo nilisha muingizaga siku za nyuma kama mara 3 akawa ametaka nimtoe nikamwambia wewe lala mimi nikimaliza movie nitamtoa akagoma ndio ugomvi ulipoanzia.

Kipindi hicho paka yuko chini ya kitanda akiendelea na mawindo akachukua nondo na kuanza kumfukuza nikamwambia acha nilishakwambia nitamtoa akawa hanielewi nikamfuata nikamshika mkono nikamtoa tukaanza kuvutana acha siachi acha siachi mpaka hasira zikaanza nipanda ikabidi ni msine vinyungutu vitatu kimoja mkononi viwili ubavuni ndipo hapo nilipo sikia kofi la sikio ambalo sijawahi pigwa tokea ni zaliwe.

Duh baada ya kutulia wenge sikioni kama sekunde 15 nikamshushia makofi matatu ambapo nilitumia nguvu nyingi ambazo zilisababishwa na hasira moja shavuni mawili mgongoni, sasa hapa naona viganja vitatu mgongoni mwake na shavuni na kiganja changu nahisi kimevimba kwasasa namhurumia ila kwa jinsi alivyo nipiga naona huruma lakini naona haina maana.

Najiuliza ujasiri huo aliupata wapi wa kunikata kofi, umetokea wapi na sijawahi kumpiga tokea nimuoe miaka mitatu sasa na huku nimemkataza zaidi ya mara tano hanielewi na mimi ni mume wake halali kabisa, naombeni maoni labda nimefeli wapi au niko sahihi au ilitakiwa ni fanyeje!

Asanteni
 
Haujui kupenda moyo wako hewa..
Wote tumejifunza ila mwenzetu umechelewa,

Kaa kimya hauna hata haki ya kusema..
Upuuzi unaofanya sio ushujaa ni ukilema,

Natamani upate jimama pengine.
Likuumize kama ulivyomuumiza mwingine,

Unaumwa faza hata kwa matibabu hautopona..
Sio dhahabu tunaijua dhahabu tukiiona..

Kuvimba kwako kamwe hakutofunja miamba,,
Ipo siku utajua kuwa kupiga si afya...

Utatafita upendo na utazikuta siasa,
Utaelewa inavyouma pindi unavyopigwa kila msaa

Niishieee hapa kwanza... Huo ni ULEMAVU hujui kupenda faza
 
Haujui kupenda moyo wako hewa..
Wote tumejifunza ila mwenzetu umechelewa,

Kaa kimya hauna hata haki ya kusema..
Upuuzi unaofanya sio ushujaa ni ukilema,

Natamani upate jimama pengine.
Likuumize kama ulivyomuumiza mwingine,

Unaumwa faza hata kwa matibabu hautopona..
Sio dhahabu tunaijua dhahabu tukiiona..

Kuvimba kwako kamwe hakutofunja miamba,,
Ipo siku utajua kuwa kupiga si afya...

Utatafita upendo na utazikuta siasa,
Utaelewa inavyouma pindi unavyopigwa kila msaa

Niishieee hapa kwanza... Huo ni ULEMAVU hujui kupenda faza
Thanks
 
Haujui kupenda moyo wako hewa..
Wote tumejifunza ila mwenzetu umechelewa,

Kaa kimya hauna hata haki ya kusema..
Upuuzi unaofanya sio ushujaa ni ukilema,

Natamani upate jimama pengine.
Likuumize kama ulivyomuumiza mwingine,

Unaumwa faza hata kwa matibabu hautopona..
Sio dhahabu tunaijua dhahabu tukiiona..

Kuvimba kwako kamwe hakutofunja miamba,,
Ipo siku utajua kuwa kupiga si afya...

Utatafita upendo na utazikuta siasa,
Utaelewa inavyouma pindi unavyopigwa kila msaa

Niishieee hapa kwanza... Huo ni ULEMAVU hujui kupenda faza
Baby nakupenda
 
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha muingizaga siku zanyuma kama mara 3 akawa ametaka nimtoe nikamwambia wewe lala mimi nikimaliza movie nita mtoa akagoma ndio ugomvi ulipo anzia kipindi hicho paka yuko chini ya kitanda akiendelea na mawindo akachukuwa nondo na kuanza kumfukuza nikamwambia acha nilishakwambia nitamtoa akawa hanielewi nikamfuata nikamshika mkono nika mtoa tukaanza kuvutana acha siachi acha siachi mpaka hasira zikaanza nipanda ikabidi ni msine vinyungutu vitatu kimoja mkononi viwili ubavuni ndipo hapo nilipo sikia kofi lasikio ambalo sijawahi pigwa tokea ni zaliwe duh baada ya kutulia wenge sikioni kama sekunde 15 nika mshushia makofi matatu ambapo nilitumia nguvu nyingi ambazo zilisababishwa na hasira moja shavuni mawili mgongoni sasa hapa naona viganja vitatu mgongoni mwake na shavuni na kiganja changu nahisi kimevimba kwasasa namhurumia ila kwajinsi alivyo nipiga naona huruma lakini naona haina maana njiuliza ujasiri huo aliu upata wapi wakunikata kofi umetokea wapi na sijawahi kumpiga tokea ni muoe miaka mitatu sasa nahuku nimemkataza zaidi ya mara tano hanielewi na mimi ni mumewake halali kabisa naombeni maoni labda nimefeli wapi au niko sahihi au ilitakiwa ni fanyeje

Asanteni
Kesho wanakuja mashemeji zako kutoka Morogoro kuja kukupiga. Halafu kuanzia mwezi ujao watakuwa wanakutumia nauli ya kwenda Morogoro wakakupige, halafu wanakurudisha. Mwezi mwingine pia.
 
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha muingizaga siku zanyuma kama mara 3 akawa ametaka nimtoe nikamwambia wewe lala mimi nikimaliza movie nita mtoa akagoma ndio ugomvi ulipo anzia kipindi hicho paka yuko chini ya kitanda akiendelea na mawindo akachukuwa nondo na kuanza kumfukuza nikamwambia acha nilishakwambia nitamtoa akawa hanielewi nikamfuata nikamshika mkono nika mtoa tukaanza kuvutana acha siachi acha siachi mpaka hasira zikaanza nipanda ikabidi ni msine vinyungutu vitatu kimoja mkononi viwili ubavuni ndipo hapo nilipo sikia kofi lasikio ambalo sijawahi pigwa tokea ni zaliwe duh baada ya kutulia wenge sikioni kama sekunde 15 nika mshushia makofi matatu ambapo nilitumia nguvu nyingi ambazo zilisababishwa na hasira moja shavuni mawili mgongoni sasa hapa naona viganja vitatu mgongoni mwake na shavuni na kiganja changu nahisi kimevimba kwasasa namhurumia ila kwajinsi alivyo nipiga naona huruma lakini naona haina maana njiuliza ujasiri huo aliu upata wapi wakunikata kofi umetokea wapi na sijawahi kumpiga tokea ni muoe miaka mitatu sasa nahuku nimemkataza zaidi ya mara tano hanielewi na mimi ni mumewake halali kabisa naombeni maoni labda nimefeli wapi au niko sahihi au ilitakiwa ni fanyeje

Asanteni
Utoto unakusumbua, ukikua utaacha. Kuingiza paka chumbani ni kitendo cha kijinga sana, unachotakiwa ni kufanya usafi chumbani kwa kuondoa mavitu ambayo ni maficho ya panya mfano raba zako na soksi zinazonuka, ondoa godoro hilo la katani alilokuachia babu yako mzaa bibi, weka godoro lisilo na matobo badala ya kuweka paka.
 
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha muingizaga siku zanyuma kama mara 3 akawa ametaka nimtoe nikamwambia wewe lala mimi nikimaliza movie nita mtoa akagoma ndio ugomvi ulipo anzia kipindi hicho paka yuko chini ya kitanda akiendelea na mawindo akachukuwa nondo na kuanza kumfukuza nikamwambia acha nilishakwambia nitamtoa akawa hanielewi nikamfuata nikamshika mkono nika mtoa tukaanza kuvutana acha siachi acha siachi mpaka hasira zikaanza nipanda ikabidi ni msine vinyungutu vitatu kimoja mkononi viwili ubavuni ndipo hapo nilipo sikia kofi lasikio ambalo sijawahi pigwa tokea ni zaliwe duh baada ya kutulia wenge sikioni kama sekunde 15 nika mshushia makofi matatu ambapo nilitumia nguvu nyingi ambazo zilisababishwa na hasira moja shavuni mawili mgongoni sasa hapa naona viganja vitatu mgongoni mwake na shavuni na kiganja changu nahisi kimevimba kwasasa namhurumia ila kwajinsi alivyo nipiga naona huruma lakini naona haina maana njiuliza ujasiri huo aliu upata wapi wakunikata kofi umetokea wapi na sijawahi kumpiga tokea ni muoe miaka mitatu sasa nahuku nimemkataza zaidi ya mara tano hanielewi na mimi ni mumewake halali kabisa naombeni maoni labda nimefeli wapi au niko sahihi au ilitakiwa ni fanyeje

Asanteni
Nilidhani neno mume bwege ni hekaya.
Kumbe ni for real.

Hongera ndugu
 
Utoto unakusumbua, ukikua utaacha. Kuingiza paka chumbani ni kitendo cha kijinga sana, unachotakiwa ni kufanya usafi chumbani kwa kuondoa mavitu ambayo ni maficho ya panya mfano raba zako na soksi zinazonuka, ondoa godoro hilo la katani alilokuachia babu yako mzaa bibi, weka godoro lisilo na matobo badala ya kuweka paka.
Kat ya mkewang na yeye nan mwenye utoto (nan alpasw kufanya huo usaf
 
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha muingizaga siku zanyuma kama mara 3 akawa ametaka nimtoe nikamwambia wewe lala mimi nikimaliza movie nita mtoa akagoma ndio ugomvi ulipo anzia kipindi hicho paka yuko chini ya kitanda akiendelea na mawindo akachukuwa nondo na kuanza kumfukuza nikamwambia acha nilishakwambia nitamtoa akawa hanielewi nikamfuata nikamshika mkono nika mtoa tukaanza kuvutana acha siachi acha siachi mpaka hasira zikaanza nipanda ikabidi ni msine vinyungutu vitatu kimoja mkononi viwili ubavuni ndipo hapo nilipo sikia kofi lasikio ambalo sijawahi pigwa tokea ni zaliwe duh baada ya kutulia wenge sikioni kama sekunde 15 nika mshushia makofi matatu ambapo nilitumia nguvu nyingi ambazo zilisababishwa na hasira moja shavuni mawili mgongoni sasa hapa naona viganja vitatu mgongoni mwake na shavuni na kiganja changu nahisi kimevimba kwasasa namhurumia ila kwajinsi alivyo nipiga naona huruma lakini naona haina maana njiuliza ujasiri huo aliu upata wapi wakunikata kofi umetokea wapi na sijawahi kumpiga tokea ni muoe miaka mitatu sasa nahuku nimemkataza zaidi ya mara tano hanielewi na mimi ni mumewake halali kabisa naombeni maoni labda nimefeli wapi au niko sahihi au ilitakiwa ni fanyeje

Asanteni
Andiko zima halina nukta wala koma! Pole sana Ndugu
 
Back
Top Bottom