Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 35,401
- 57,006
Ulikuwa wa ghafla?Kitwanga anakunywa maji Ila jamaa siku ile alikuwa sober ni ugonjwa tu ulimsibu.
Ulikuwa wa ghafla?Kitwanga anakunywa maji Ila jamaa siku ile alikuwa sober ni ugonjwa tu ulimsibu.
Ulikuwa wa ghafla?
Ningeshaa mno kama usingekuja kwenye huu uzi!Kwenye huu uzi mashoga wataeleweka tu.
Tunataka pale kwenye katiba mpya waweke wazi kabisa HAKI YA KUZAGAMULIWA KINYEO.Kwenye huu uzi mashoga wataeleweka tu.
Naona watu wanakumbukumbu fupi.Ameongea kwa hisia sana na ni msanii pia
Nimeangalia clip hiyo halafu nikakumbuka enzi za covid
Alaaahh 🤣🤣🤣🤣🤣Ukikijaza mchanga kwa makusudi na ukabainika lazima udakwe kwa nia ovu ya kujidhuru/kujiua na kujifanyia matendo ya aibu/yasiyo na maadili mema hadharani. 🤣🤣🤣
Utapata taabu sana.😎Alaaahh 🤣🤣🤣🤣🤣
Duhh.Gwajima kakazia hapo sheria zipo, na zitafuatwa endapo mtu atagundulika. Wameenda mashuleni. Walipofika kule kumbe mtoto ndio anapenda michezo ya hovyo. Anafanya na wenzake. Zaidi ya watano. Ila kesi alipewa mwalimu. Mwalimu yuko ndani. Mtoto michezo anafanya na wanafunzii wenzake. Waziri mzima kaaibika. Kijana akaachiwa. Nadhani alihamishwa shule na yuko halmashauri flani yule
Kwani kafanya nn cha ajabu? Mbona mleta mada ndiyo kituko??Hata huyo Bi. Mkubwa hapo pembeni naona anamshangaa, hakuwa sawa nafkiri
Wakati najiunga JF, nilijiaga hamna watu wajingaKweli uchawi upo. CCM hawaaminiki kabisa. Huyu Wazir juzi juz hapa tumetoka mpa maua yake. Haujapita mwezi amefanya kituko Bungeni.
Hapa ukiuliza shida nini huwezi elewa. Alikuwa amelewa? Alikuwa anafanya masikhara? Mbona haeleweki?
View attachment 2994477
Huwa wanaangalia nini kimetokea leo basi ila zikipita siku wanasahau kabisaNaona watu wanakumbukumbu fupi.
Wamemsahau D.gwajima mara hii.