Search results

  1. P

    Baaada yakupata mtoto mke wangu havutiwi tena na kufanya mapenzi

    Kama wewe muislam kaa mwambie nataka kuongeza mke,nakupa tu taarifa
  2. P

    Mafua yataniua

    Mimi nikiamka jua likitoka nakua mzima had jion giza likiingia naanza kuumwa mafua usiku mzima kias hadi natumia mdomo kupata pumzi. Hii Hali Ina mwaka huu wa 3 Mchana mzima kabisa, Pia naomba kuuliza je feni inaweza sababisha niumwe? Maana nalala na feni kila siku
  3. P

    Mpenzi wangu hataki niende naye ughaibuni

    Eeeh babe nakusubl hapa tuondokeee zetu
  4. P

    Vifo vya marafiki zangu wa karibu vimeniathiri kisaikolojia naogopa sana Ukimwi mpaka napitiliza. Kila nikifanya mapenzi naona zamu yangu imekuja

    Tafuta tiba uondokane na mawazo hayo,....tunza Afya yako maana Hakuna utajiri mkubwa Kama kuwa na Afya njemq
  5. P

    Hivi ninyi kinabibi afya na bwana afya hii ni kawaida?

    Basi tu unafikiri kapenda kuhangaika hata hajapona vzuri.... Ugumu tu wa Maisha
  6. P

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya maziwa mtindi na maziwa fresh

    Wapendwa..... Nataka kutafuta kijiwe kwaajili ya kuafanya biashara ya maziwa mtindi na fresh Hapa Dar yanapatikana wapi kwa bei ya jumla? Kwa aliyewahi kufanya je inalipa? Changamoto zake ni zipi? Na kwakuanza natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani?
  7. P

    Niliingiza pesa December na January almost 1M na shilingi kazaa

    Yaan had nawaza nichange sijuh nihamie kwenye Nini
  8. P

    Niliingiza pesa December na January almost 1M na shilingi kazaa

    Nafanya business online, huu mwaka wa 2 Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza, Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi...
Back
Top Bottom