Wewe ndio mpumbavu nambari moja kwa sababu ni mwanamke uliyekubali kuolewa pasipokujua nini maana ya ndoa.
It is very clear from the bible kuwa anayeolewa ni mwanamke na sio mwanaume -hakuna kitu kinaitwa kuoana - bali mwanamke ndiye anayeolewa .
Kwa tafsiri nyingine ni kuwa MWANAMKE akikubali...
Usiwadanganye watu waache ajira eti waende wakajiajiri kwenye kilimo Mkuu.
Kilimo kina stress hatarii. Lakini pia ajira inategemeana una ajira gani? Mfano mtu unafanya kazi na basic yako ni 4m plus, na huna stress za kusumbuana na vibarua Wala wadudu huko maporini Kuna haja Gani ya kuacha ajira...
Pole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa...
Hatuwezi kujaribu kufanya hivyo kwasababu ndio maana Kuna mgawanyiko kati ya mwanamke na mwanaume .....
Na ndio maana mwanamke anakojoa huku amechuchumaaa, ili hali mwanaume anakojoa huku akiwa amesimama
Hiyo ndio inaleta utofauti. Zaidi ya hapo inakuwa ni kiburi tu Cha mwanamke kutaka...
Mwanamke kabla ya kukubali kuolewa yampasa kwanza afahamu mashariti ya ndoa, ambayo kubwa la kwanza na muhimu kuliko yote ni kukubali kulala bila kuvaa PICHU na hayo mengine ya usafi , kupika , kufua n.k ni viambata vyake tu ambayo nayo ni muhimu ayajue kuyatekeleza yote
Mkuu lengo langu ni kupata 'mwanamke bora' ambaye atakuja kuwa mke wa maisha yangu. Kumbuka usemi usemao 'kosea vitu vyote lakini usije kukosea kuchagua mwenza bora wa maisha' kwa sababu ukikosea hapo baadae utakuja kujuta.
Hivyo basi, nia na madhumuni ni kumpata mwanamke sahihi anayekidhi hivyo...
Dear Jf Crew team,
I am looking for a single woman who may become my 'Soulmate ever in my lifetime'.
My Merits:
My education is beyond Bachelor's degree
Employed by government
My age range is between 35 to 40.
Single woman merits needed
Education, the minimum should be a Bachelor's degree...
Usemalo ni kweli kabisaa lakini nadhani kuna shida kubwa sana, ingekuwa kuna mfumo mzuri nadhani wahusika wangelifanyia kazi kwa wakati muafaka kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Mheshimiwa Rais wa JMT,
Pamoja kuwa upo busy na majukumu yako lakini ikikupendeza basi naomba usome huu ujumbe wangu pasipo kuchoka, na kama kuna wasaidizi wako basi itakuwa ni vema endapo watakufikishia ujumbe huu.
Taifa lolote lile duniani ili lifanikiwe linahitaji kuwa na watu ambao ni...
Wana familia ya Jf,
Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe.
Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari naanzia hapa Dom mjini.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu mtakao nipa taarifa njema, na pia...
Huyo aliyesoma PCM nakushauri aende akasome Bachelor of Technical Education in Civil engineering or Bachelor of Technical Education in Architectural and Technology or Bachelor of Technical Education in Mechanical engineering,
Hizo course kwa Sasa ni hot cakes na ajira yake ipo nje nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.