Straight forward, serikali Kupitia wizara ya mawasiliano na teknolojia imenunua mdoli wa kikubwa wao wanaitwa roboti.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mdoli na roboti, hili letu ni mdoli kwanza katika uongeaji hakuna ishara ya mdomo kuzungumzia chini linatairi pili macho yake yametazama sehemu...
Naombeni kujuzwa ni kwanini waganga wa kienyeji wanazikwa wakiwa wamekaa kwenye kiti pia makaburi yao ni mviringo kama kisima, mwenye uelewa ni kwanini anijuze.
Na je ikitokea amezikwa kawaida nini kitatokea?
Lakini pia kwanini wanatupa kaburini kinyesi cha ngombe kabla ya kumfukia
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza
Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini...
On point, kama familia yako huwezi kupata milo mitatu kwa siku hio familia ni duni au masikini, kwaio kama unajua kabisa wewe ni mchana na usiku tu ndio unapata chakula basi work hard my bro ili uyoke kwenye kundi la familia masikini.
Familia ya kati inauwezo wa kumudu Milo mitatu Hadi minne Kwa...
On point, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira, hivi ikitokea Hawa vijana wamebadili mawazo au wameshawishiwa na kikundi Cha kiharifu kujiunga navyo ni hatari Kwa usalama wa watanzania.
Ukifatilia wanasema jeshi tumelima sana...
Moja Kwa Moja kwenye points aisee hivi karibu idadi kubwa ya masingle mama imeongezeka Kwa Kasi ya ajabu kila nitakae piga nae story Moja mbili hivi anasema yeye yupo single na anawatoto tu analeta mwenyewe. nyie wadada tambueni hili unapomtegesha mimba mwanaume ambae sio mumeo unajiweka kwenye...
Niende Moja Kwa Moja kwenye mada, enyi waislamu kwanini hamtambui uwepo wa mtoto wa nje ya ndoa wakati wa mirathi?
Eti mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya kirithi mali za baba ake mzazi hivi sheria gani hizi ambazo zinamkandamiza mtoto?
Mtoto ni mtoto tu haijalishi ni kambo au wandoa.
Wanasema...
Bwana haji Manara sawa kuoa ni haki yako ya kidini lakini isiwe geuze kuwa chanzo cha mapato kwa kulenga michango utakayopewa na ndugu na jamaa.
Haiwezekani wewe ni kuoa kuacha kuoa kuacha unachezea watoto wa watu ukiwalingishia ndoa, sasa tumeshakujua tabia yako, unataka tukuchangie hulambi...
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.
Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya...
Habari za muda huu wanaJF, ni kijana wenu nimeleta Uzi huu tushare kwa pamoja, hivi inakuaje mtoto anafika hadi level ya sekondari kidato Cha kwanza hajui kusoma yaani haelewi chochote, na je alifaulu vipi mtihani wa darasa la nne na darasa la saba? Hili linanitia mashaka kabisa huko shuleni...
Habari za muda huu wanajf,
Nimekuja kwenu wanajf ili niwezekupata mbili tatu kuhusu hii milio ya masikio ambayo imenisababisha kutosikua vizuri kabisa tatizo halina muda mrefu sana.
Habari wanajf,
Naomba kueleweshwa inakuaje Tanzania tuombe ruksa ya kutumia maji ya ziwa Victoria ilhali ziwa ni letu?
Misri alishawahi kusema kwa yeyote atakayetumia maji ya ziwa Victoria bila idhini kutoka kwao wako tayari kwa kupigana vita.
Upande wangu kwakweli nimekeleka sana yaani ziwa...
Naomba ninukuu alivosema mheshimiwa Gwajima et AI haiepukiki inachochea ukuaje wa uchumi, ivi ni kweli ??
Kwa upande wangu hii sio kweli Tanzania kiteknolojia bado sana , nchi masikini utaileteaje AI kutatua changamoto za uzalishaji ilhali wakunamitambo au resources za uhakika na zenye uwezo wa...
Habari za muda huu viongozi, nimatumaini yangu kuwa mko fit. Bila kuchelwa najua humu kuna wakuu wa shule mbalimbali, wafanyakazi na n. k, mdogo wangu amekomea form six kielimu kutokana na changamoto ya kukosa mkopo hakwenda chuo hivyo anawaomba wanajf msaada apate angalau kibarua cha kufundisha...
Madegree ya kwenye makaratasi tu, udsm tunamaprofesa na maphd ya injinia lakini wawajawahi kutengeneza ata wembe tu [emoji1787][emoji1787], ata hako kamewashinda kweli aisee afu unataka mm niwe innovative kivipi?
Kwenu mnaosomesha watoto shule za gharama ilihali serikali inatoa elimu bure , mzazi unapeleka mtoto kujiunga kidato cha kwanza shule binafsi utazani labda wanafundishwa masomo tofauti na alie shule za umma hayo ni matumizi mabovu ya pesa.
Wazazi wengi wanapenda show off hasa wazazi wa kike...
Hii kozi ninaoina kama miyeyusho fulani ivi maana nikiangalia maprof, Dr na PHD zao wote wameishia kuwa waalimu tu yaani malecturer tu, hakuna aliefungua mradi wake ata wa kufuga sato wanatufundisha sisi tusome tujiajiri kivipi!? Kama wewe na phd yako huna hata bwawa la samaki mm nitaweza vipi...
Nakumbuka kila assignment tutakayopewa either iwe individual au group sisi tunatumia tu bot letu kwisha kazi hakuna cha kwenda library wala nini, kwnz hata discussion hakuna ni bot ty daaah hili taifs mbeleni watazalishwa wasomi hewa [emoji1][emoji1][emoji1]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.