GOLD BOY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 388
- 472
Naombeni kujuzwa ni kwanini waganga wa kienyeji wanazikwa wakiwa wamekaa kwenye kiti pia makaburi yao ni mviringo kama kisima, mwenye uelewa ni kwanini anijuze.
Na je ikitokea amezikwa kawaida nini kitatokea?
Lakini pia kwanini wanatupa kaburini kinyesi cha ngombe kabla ya kumfukia
Na je ikitokea amezikwa kawaida nini kitatokea?
Lakini pia kwanini wanatupa kaburini kinyesi cha ngombe kabla ya kumfukia