Search results

  1. I

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nina Hometheatre yangu LG Watt 1200 ambayo deki yake imeharibika. Napata wapi deki nyingine maana nmetafuta sana nmechoka.
  2. I

    Ila maisha

    Kuna mambo yanaumiza sana maisha, sasa mtu anaposema analala njaa namuelewa… hali hii ndiyo niliyonayo kwa sasa. Naomba sana wanangu au mtu yeyote asije akapita kwenye mapito yangu
  3. I

    Wanawake ni hatari anayebisha nipo Kinondoni

    Hakuna kitumbua cha kusindikiza hii chai
  4. I

    Maajabu ya Ajira za Kampuni ya Nature's way

    Hawa ni sawa na NEO-LIFE wapo hapa Dar Mwenge. Wanauza madawa wanayodai ni food suppliments ila kiingilio ni pesa. Wako kwenye mfumo uleule wa network marketing unaoliza watanzania. mshauri achukue hela yake akafanye jambo jingine
  5. I

    Maisha yamenichapa haswa

    I can feel unachopitia. Ww bora hata ghetto unalo, mm nimekuwa homeless nazurura tu sina makazi maalum
  6. I

    Mada ya kuulizia walipo watu mashuhuri ndani na nje ya Tanzania

    Yuko wapi CHARLES MAGARI, mwigizaji maarufu wa movie za kibongo
  7. I

    The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

    Ila hakuna hi kuchakata papuchi, alipitwa na mengi sana
  8. I

    Kijue kitabu kilichotafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi duniani

    Nyuzi kama hizi wachangiaji huwaoni ila ukiandika kula kimasihara wataletwa na upepo wa kisulisuli
  9. I

    Taasisi za serikali, LGA’s na nyinginezo huisheni takwimu

    Umeongea ukweli mtupu kaka. Cha kuongezea pia, sio tu takwimu yaani taasisi za serikalini kwenye dissemination ya taarifa kwa ujumla ni tatizo. Tovuti hazina taarifa za kutosha na kuna nyaraka ambazo ni public nazo zinafichwa yaani shida tupu. Ukianza kufanya kazi za research ndo mtu utaelewa zaidi
  10. I

    Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

    Daah hizi pipi nilikuwa nazipenda sana sijui kwann waliacha kutengeneza??
Back
Top Bottom