Ni kweli Kuna Mtu kawe Kuna Mtu anaishi kawe aliniambia siku za nyuma kidogo kwamba siku hizi kawe Kuna panya wengi sana, Tena yeye alihusisha na Imani za kishirikina ila kwa sumu wanakufa vizuri tu labda ni aina ya sumu unayotumia
Be positive sio lazima Mtu afanye kazi Moja ana Kitenge tv , ana maulidkitenge .com nenda kaangalie makampuni yalio sponse Kitenge tv hayo ni baadhi tu ya yanayo fahamika ,je kama ana mashamba kijijini kwao huko analima tutajuaje
Duuh kwanza pole , ila tuongee ukweli Mtu anashika million 100 bado anashindwa kujenga hata kibanda Cha mill30, Naomba sana Mungu aniepushe na hili
"... nikapanga nyumba ya mill 10 natumia hela Hadi ziishe"
Inawezekana wameweka nguvu kubwa sana Kigoma kwa sababu ya muingiliano wake na Kongo ukiangalia Kongo ni taifa kubwa na Lina idadi kubwa sana ya watu wanao ingia Tanzania,Mfano wakimbizi
Ukilinganisha na muingiliano kati ya Kagera na Rwanda
Sija wafanananisha na hamas, halafu ngoja nikwambie kitu hamas unao waona wewe ni magaidi Kuna watu wanaeaona ni wakombozi wao the same hao unaowaona ni wema kwa kua wameishi miaka na miaka Kuna watu wanawaona sio watanzania na bado wanauzalendo na taifa lao la asili hivyo ni Bora wakakae huko...
Eti utajiri ni watu, kawachukue M23 na hamas wale pia si watu kawachukue ili waanzishe makazi makazi tupate maendeleo.
Yaani hali hii akili ndo tumepewa Bure ingekua tunalipia sijui ingekuaje
Umesema mwenyewe kwamba ni nadra sana kwa kipindi hiko kukuta Binti wa miaka 15 hajaolewa , sasa inamaanisha kwamba walikuepo ambao hawajaolewa ila ni wachache na katika hao wachache mmoja wapo ni Maria mbona ni simpo
Job true true
Sasa si inabidi nipate eneo then ndo nitafute wataalam waje kupima udongo Kisha nijue kutokana nau udogo huo nalima kitu gani, sababu huwezi kupima eneo la mtu
Habari zenu Wana JF , Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu , nataka niingie kwenye Kilimo na kama unavyo jua Kilimo chetu apa kibongo bongo ni kwenye ardhi ingawa teknologia ya sasa unaweza ukalima hata gorofani ila sana sana wengi wetu tume zoea kulima ardhini hivyo basi kama Kuna Mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.